• Nairobi
  • Last Updated November 28th, 2023 7:53 PM

TAHARIRI: Sekta kuu za kilimo zifufuliwe

NA MHARIRI MANIFESTO ya muungano wa Kenya Kwanza wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu uliopita ilivutia Wakenya wengi hasa kutokana na...

JURGEN NAMBEKA: Serikali iongeze jitihada kuzima mizozo ya watu na wanyamapori Tsavo

NA JURGEN NAMBEKA KWA muda mrefu Wakenya wanaoishi karibu na mbuga za wanyamapori zilizoko Pwani, wamelalamikia uvamizi wa wanyama hao...

TAHARIRI: Idara za serikali ziwe zinatenga malipo kabla ya kutoa kandarasi

NA MHARIRI MAMIA ya watu waliotoa huduma kwa taasisi za serikali wanaendelea kuhangaika. Biashara zao zimeathirika. Wengi wamekuwa wa...

KINYUA KING’ORI: Wanaosababishia taifa hasara kwa miradi iliyokwama wachukuliwe hatua kali

NA KINYUA KING’ORI INASIKITISHA kuwa hata baada ya serikali kuendelea kutenga fedha kwa miradi nchini Wakenya bado hawajanufaika nayo...

TUSIJE TUKASAHAU: Wakenya 8.8 milioni walemewa kulipa ada za michango yao NHIF

JUMLA ya Wakenya 8.8 milioni wamelemewa kulipa michango yao ya kila mwezi kwa Bima ya Kitaifa ya Afya (NHIF) kufikia Januari 2023,...

CECIL ODONGO: Mwelekeo anaochukua Rais Ruto mwishowe utamponza mwenyewe

NA CECIL ODONGO MATUKIO yanayoendelea kisiasa nchini sio mazuri kwa utangamano wa taifa. Mnamo Jumapili, nilisikiliza hotuba ya kiongozi...

BENSON MATHEKA: Majangili kaskazini mwa Bonde la Ufa ni janga kubwa linalohitaji hatua ya upesi

NA BENSON MATHEKA VISA vya mashambulio yanayoendelezwa na majangili kaskazini mwa Bonde la Ufa havifai kuchukuliwa kama uhasama unaotokana...

CHARLES WASONGA: Serikali ya Ruto itahadhari isirudie makosa ya Jubilee

NA CHARLES WASONGA SERIKALI ya Kenya Kwanza inafaa kuacha taasisi huru za serikali zifanye kazi bila kuingiliwa wala kuelekezwa jinsi...

TAHARIRI: Mabishano kuhusu ushuru ni kejeli kwa raia wa Kenya

NA MHARIRI KATIKA taifa lolote linalokusudia kujikuza kiuchumi, ukusanyaji ushuru huwa ni suala zito ambalo linalindwa kwa sheria...

WANTO WARUI: Waziri Machogu ana kibarua kigumu cha kudumisha hadhi ya masomo nchini

NA WANTO WARUI KIFO cha ghafla cha aliyekuwa waziri wa Elimu Prof George Magoha kimelipokonya taifa hili mfanyakazi aliyejitolea hadi...

WANDERI KAMAU: Utawala wa Ruto ujenge uwiano si ulipizaji kisasi

NA WANDERI KAMAU UTAWALA wa Kenya Kwanza umekuwa ukijisawiri kama unaomwogopa Mungu. Kwenye kampeni zao za kuwania urais katika uchaguzi...

TUSIJE TUKASAHAU: Walimu wakuu bado wameorodhesha ada nyingi ambazo wanawataka wazazi walipe

KUANZIA leo Jumatatu, wanafunzi waliofanya Mtihani wa Darasa la Nane (KCPE) mwaka 2022, wanaanza kujiunga na kidato cha kwanza katika shule...