• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 7:55 PM

TAHARIRI: Usimamizi wa raga ulainishwe ili kuinua ubora

NA MHARIRI TIMU ya raga ya wachezaji saba kila upande almaarufu Kenya Shujaa imehangaika kwenye Raga za Dunia za msimu...

WANDERI KAMAU: Nigeria ni mfano bora kuwa mtu mui hatimaye huwa mwema

NA WANDERI KAMAU MTU anapofanya vizuri ikilinganishwa na vitendo vyake vya awali, anafaa kupongezwa kwa kuimarisha vitendo ama mwelekeo...

DOUGLAS MUTUA: Kweli Kenya imehalalisha ushoga au ni hisia kali tu?

NA DOUGLAS MUTUA HIVI haramu imehalalishwa, yaani ushoga ukaidhinishwa kisheria nchini Kenya? Hii ninayosikia ni mihemko ya kawaida tu...

CECIL ODONGO: Mali ya umma isitumiwe kufadhili afisi zisizotambulika rasmi kikatiba

NA CECIL ODONGO AFISI za wake wa Naibu Rais Rigathi Gachagua na Kinara wa Mawaziri Musalia Mudavadi, zifutiliwe mbali. Wiki jana, Bw...

WANDERI KAMAU: Wito kwa Rais William Ruto; waondoe mawaziri wazembe!

NA WANDERI KAMAU KUNA ukimya mkuu uliotanda kila sehemu nchini. Ukimya mkubwa! Ukimya ambao unaifanya vigumu kuamini ikiwa kuna serikali...

TAHARIRI: Ucheleweshaji wa malipo ya wakandarasi ukomeshwe

NA MHARIRI INASIKITISHA kuwa baadhi ya Wakenya waliosambazia serikali bidhaa au kutoa huduma wamekufa kutokana na hasa tatizo la kimawazo...

JURGEN NAMBEKA: Vijana wa Pwani wajifunze kuhusu utaalamu wa gesi

NA JURGEN NAMBEKA RAIS William Ruto alizuru Pwani kuzindua ujenzi wa kiwanda cha gesi aina ya LPG katika eneo la Dongo Kundu. Wakati wa...

TAHARIRI: Serikali yafaa imalize wizi wa chakula cha msaada

NA MHARIRI TAKWIMU zinazojitokeza kuhusu hali ya kiangazi nchini ni za kusikitisha. Ziwa Turkwell katika Kaunti ya Turkana ni la punde...

WANDERI KAMAU: China Square: Tunahatarisha sifa ya Kenya kuhusu uwekezaji wa kigeni

NA WANDERI KAMAU LICHA ya matatizo kadhaa yaliyokumba utawala wake, mojawapo ya mafanikio aliyopata Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta ni kubuni...

CECIL ODONGO: Ni unafiki serikali kutaka Raila awekewe vikwazo

NA CECIL ODONGO BAADA ya uchaguzi mkuu wa 2007, William Ruto pamoja na Uhuru Kenyatta walishiriki msururu wa mikutano ya maombi kuhusu...

TAHARIRI: Serikali itilie mkazo elimu ya wanafunzi wa Gredi ya 7

NA MHARIRI RIPOTI zimeibuka kuwa wanafunzi wa Gredi ya 7, ambao ndio waasisi wa mfumo mpya wa elimu (CBC), hawafundishwi ipasavyo kutokana...

CHARLES WASONGA: Ruto, Gachagua wainue raia badala ya kujibizana na Raila

Na CHARLES WASONGA SIDHANI kuwa gharama ya maisha itashuka hivi karibuni alivyobashiri juzi Rais William Ruto hata wakulima wakipanda na...