AYUMBA AYODI na GEOFFREY ANENE MSHIKILIZI wa zamani wa rekodi ya mbio za wanaume za kilomita 42, Eliud Kipchoge, amesimamisha shughuli...
MANCHESTER, Uingereza ARSENAL na Manchester City watalazimika kujaribu tena bahati yao msimu ujao kwenye kipute cha Klabu Bingwa Ulaya...
ROME, Italia PAMBANO kubwa linasubiriwa ugani Olympic Stadium jijini hapa Alhamisi usiku AS Roma itakapoalika AC Milan katika mkondo wa...
NA LABAAN SHABAAN BAYERN Munich ilishinda kwa bao moja nunge dhidi ya Arsenal ugani Alianz Arena ili kuwabandua Waingereza nje ya...
JOHN ASHIHUNDU NA MASHIRIKA LICHA ya kupewa nafasi ndogo ya kushinda Bayern Munich Jumatano na kusonga mbele katika michuano ya Klabu...
BARCELONA, Uhispania KOCHA Xavi Hernandez wa Barcelona amesema maamuzi mabaya ya refarii yalisababisha timu yake kubanduliwa na Paris...
MANCHESTER, Uingereza BAADA ya mkondo wa kwanza kumalizika kwa sare ya 3-3 katika uwanja wa Santiago Bernabeu nchini Uhispania, leo usiku...
NA MWANGI MUIRURI LIVERPOOL imesimamishwa na Crystal Palace katika mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) kwa...
Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa Eindhoven Marathon Kenneth Kipkemboi ni mmoja wa watimkaji wanaopigiwa upatu kutwaa taji la Rotterdam...
Na GEOFFREY ANENE MABINGWA watetezi Manchester City wameng’oa Arsenal kileleni mwa Ligi Kuu ya Uingereza baada ya kukung’uta Luton...
NA CHRIS ADUNGO MIAKA 12! Huo ndio muda uliomchukua kiungo wa zamani wa Chelsea na Real Madrid, Geremi Njitap, kugundua kuwa mapacha...
MANCHESTER, UINGEREZA NAMBARI tatu Manchester City leo wataalika Luton Town (18) ugani Etihad katika mechi ambayo hawana budi kushinda...