• Nairobi
  • Last Updated September 28th, 2023 10:25 PM

Tutapandisha hadhi ya CAF kwa kutendea haki maandalizi ya AFCON 2027, yasema BMT

MUHTASARI Mashindano makubwa ya soka barani Afrika kwa nchi za Afrika Mashariki kwa mara ya mwisho yalifanyika Tanzania ambayo...

Hatubahatishi, tutaandaa AFCON ya kupigiwa mfano asema Ababu

Na CECIL ODONGO “Hatukupata haki ya kuandaa Kombe la Afrika 2027 kwa bahati. Tunastahili kwa sababu ombi letu lilisheheni mengi ambayo...

Kipa Annette Kundu aendelea kusherehekea ushindi wa Kenya dhidi ya Cameroon

NA TOTO AREGE KIPA Annette Kundu, ambaye alichangia pakubwa katika ushindi wa 4-3 wakati Kenya ilitandika Indomitable Lionesses ya...

Barabara zote zaelekea Nyayo warembo wa Harambee Starlets wakivaana na Indomitable Lionesses

NA TOTO AREGE TIMU ya taifa ya Kenya ya wanawake Harambee Starlets leo Jumanne, inashuka dimbani dhidi ya Indomitable Lionesses ya...

Historia Kipchoge akitawala Berlin Marathon mara ya 5  

NA GEOFFREY ANENE ELIUD Kipchoge sasa ametupia jicho kupata medali ya tatu ya mbio za kilomita 42 kwenye Olimpiki 2024 baada ya kuibuka...

Eliud Kipchoge: Kuibuka mshindi wa Berlin Marathon mara tano ni ndoto niliyoweza kuota tu    

NA SAMMY WAWERU BINGWA wa Dunia mbio za masafa marefu, Eliud Kipchoge ametaja ushindi wake wa tano katika Riadha za Berlin Marathon...

Eliud Kipchoge azoa taji lake la tano la Berlin Marathon

NA GEOFFREY ANENE BINGWA Eliud Kipchoge ameonyesha weledi wake katika mbio za kilomita 42 baada ya kushinda taji lake la tano la Berlin...

Macho kwa Kipchoge akivizia taji la tano la Berlin Marathon

NA GEOFFREY ANENE REKODI za dunia za kilomita 42 zinazoshikiliwa na Wakenya Eliud Kipchoge (saa 2:01:09) na Brigid Kosgei (2:14:04)...

Kenya yateremka kwenye jedwali la FIFA la viwango vya ubora

NA JOHN ASHIHUNDU KICHAPO cha majuzi dhidi ya Sudan Kusini katika mechi ya kimataifa kimeathiri pakubwa timu ya Harambee Stars kulingana...

Kilio Man-U, Arsenal ikipiga sherehe Uefa

MUNICH, Ujerumani Kipa Andre Onana ameamua kubeba msalaba kwa matokeo duni ya Manchester United baada ya kulimwa 4-3 na Bayern Munich...

Kayange: Shujaa wa 7s aliyewasha msisimko wa raga nchini na kote duniani

NA GEOFFFREY ANENE HUMPHREY ‘Tall’ Kayange ni mmoja wa mashujaa wa Kenya katika raga. Mwanafunzi huyo wa zamani wa shule za msingi...

Harambee Starlets waelekea nchini Cameroon kumenyana na Indomitable Lionesses

NA TOTO AREGE WACHEZAJI 23 wa timu ya taifa ya Kenya Harambee Starlets, wameondoka nchini Jumanne kuelekea mjini Yaounde, Cameroon...