• Nairobi
  • Last Updated December 5th, 2023 8:55 PM

Leteni hao Uganda, chipukizi wa Kenya wafoka baada ya kuminya Tanzania

NA JOHN ASHIHUNDU Kenya Juniors Stars watakutana na Uganda katika fainali ya Cecafa U-18 itakayochezewa Jomo Kenyatta International...

Safaricom yamwagia East African Safari Classic Rally mamilioni

Na GEOFFREY ANENE MBIO za magari za East African Safari Classic Rally zimepigwa jeki na kampuni ya Safaricom kwa Sh6 milioni kupitia apu...

Ni kufa kupona Harambee Starlets wakishuka dimbani dhidi ya wenyeji Botswana

NA TOTO AREGE KIVUMBI kikali kinatarajiwa jijini Gaborone nchini Botswana mnamo Jumanne, wakati The Mares ya Botswana itatifuana na...

Niliyoyachukulia ni mambo madogo tu yamenivunia heshima ambayo sikutarajia – Kipchoge

Na GEOFFREY ANENE BINGWA mara mbili wa mbio za marathon za Olimpiki, Eliud Kipchoge amesema kuwa ni heshima kubwa kupokea Shahada ya...

Beki Dorcas Shikobe roho juu Stars wakielekea Gaborone kwa marudiano na Botswana

NA TOTO AREGE KIKOSI cha wachezaji 24 wa timu ya taifa ya Kenya ya wanawake Harambee Starlets, kitaondoka nchini mnamo Jumapili kuelekea...

Kenya kuvaana na Ufaransa mashindano ya Rugby League jijini Nairobi

Na GEOFFREY ANENE KENYA na Ufaransa zimetaja vikosi tayari kupepetana katika mashindano ya raga ya mataifa mawili ya Shirikisho la...

Kimeumana nyumbani kwa Neymar, mpenziwe aliyejifungua juzi akimtema kwa tabia za ufisi

NA CHRIS ADUNGO SUPASTAA wa Brazil, Neymar Jr, ametemwa na demu wake Bruna Biancardi siku chache baada ya kufichuka kuwa fowadi huyo...

Man U waenda kichinjioni Newcastle huku Arsenal wakialika mbwamwitu Emirates

NEWCASTLE, Uingereza NEWCASTLE, Uingereza: Manchester United wanarejea ‘kichinjioni’ ugani St James’ Park kutafuta pointi dhidi ya...

Kirui kwenye mizani Wakenya wenzake wakipanga kumtifulia vumbi Fukuoka Marathon

Na GEOFFREY ANENE Macho yatakuwa kwa bingwa dunia mwaka 2009 na 2011 Abel Kirui wakati washiriki 478 watawania taji la mbio za Fukuoka...

Shabiki sugu wa Gor na Arsenal ashinda Sh27 milioni za SportPesa

Na CECIL ODONGO Mwanaume mwenye umri wa miaka 32 shabiki wa Gor Mahia na Arsenal ambaye yupo kwenye biashara ya kuuza vipuri na vyuma...

Uhispania Marathon: Cheptegei wa Uganda anyemelea rekodi ya dunia ya kilomita 42 ya Kiptum, ataweza?

NA GEOFFREY ANENE MAKALA ya 43 ya Valencia Marathon yanatarajiwa kusisimua mashabiki baada ya tetesi kuwa rekodi mpya dunia ya Mkenya...

Michael Olunga, Almoez Ali na Philippe Coutinho tegemeo kuokoa Al Duhail

NA GEOFFREY ANENE MKENYA Michael Olunga, Almoez Ali (Qatar) na Philippe Coutinho (Brazil) Jumanne, Novemba 28, 2023 watategemewa na...