• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 9:15 PM

Kipchoge mawazo na moyo wake wote ni Olimpiki pekee

AYUMBA AYODI na GEOFFREY ANENE MSHIKILIZI wa zamani wa rekodi ya mbio za wanaume za kilomita 42, Eliud Kipchoge, amesimamisha shughuli...

Arsenal warudi kwa wimbo wao wa ‘next season’ baada ya kubanduliwa UEFA

MANCHESTER, Uingereza ARSENAL na Manchester City watalazimika kujaribu tena bahati yao msimu ujao kwenye kipute cha Klabu Bingwa Ulaya...

Ni mapambano ya piga nyofoa kombe la Europa Liverpool wakisaka muujiza

ROME, Italia PAMBANO kubwa linasubiriwa ugani Olympic Stadium jijini hapa Alhamisi usiku AS Roma itakapoalika AC Milan katika mkondo wa...

Arsenal, Man City wala kavu katika kipute cha Klabu Bingwa Ulaya

NA LABAAN SHABAAN BAYERN Munich ilishinda kwa bao moja nunge dhidi ya Arsenal ugani Alianz Arena ili kuwabandua Waingereza nje ya...

Wenger asema Arsenal wana uwezo wa asilimia 50 kushinda Bayern

JOHN ASHIHUNDU NA MASHIRIKA LICHA ya kupewa nafasi ndogo ya kushinda Bayern Munich Jumatano na kusonga mbele katika michuano ya Klabu...

Barcelona yalia na kusaga meno huku Dortmund wakipepea Uefa

BARCELONA, Uhispania KOCHA Xavi Hernandez wa Barcelona amesema maamuzi mabaya ya refarii yalisababisha timu yake kubanduliwa na Paris...

Man City, Arsenal ni kufa kupona UEFA

MANCHESTER, Uingereza BAADA ya mkondo wa kwanza kumalizika kwa sare ya 3-3 katika uwanja wa Santiago Bernabeu nchini Uhispania, leo usiku...

Nyota ya Liverpool EPL yazimwa 1-0 na Crystal Palace 

NA MWANGI MUIRURI  LIVERPOOL imesimamishwa na Crystal Palace katika mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) kwa...

Rotterdam Marathon, mbio alizosubiria kwa hamu kubwa Kiptum zatimkwa Uholanzi

Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa Eindhoven Marathon Kenneth Kipkemboi ni mmoja wa watimkaji wanaopigiwa upatu kutwaa taji la Rotterdam...

Kama mna nguvu mtufikie basi, Man City waashiria Arsenal na Liverpool wakilipua Luton 5-1

Na GEOFFREY ANENE MABINGWA watetezi Manchester City wameng’oa Arsenal kileleni mwa Ligi Kuu ya Uingereza baada ya kukung’uta Luton...

Miaka 12! Staa wa zamani Chelsea, Real ampiga teke mkewe msaliti

NA CHRIS ADUNGO MIAKA 12! Huo ndio muda uliomchukua kiungo wa zamani wa Chelsea na Real Madrid, Geremi Njitap, kugundua kuwa mapacha...

Man City mawindoni kutia presha vinara Arsenal, Liverpool kileleni

MANCHESTER, UINGEREZA NAMBARI tatu Manchester City leo wataalika Luton Town (18) ugani Etihad katika mechi ambayo hawana budi kushinda...