NA CHRIS ADUNGO KIPUSA Eva Garcia amezua tetesi za kutengana na kiungo wa Manchester United, Alejandro Garnacho, kupitia ujumbe wake wa...
NA LABAAN SHABAAN MASHABIKI wa Manchester United wamefurahia mageuzi yanayofanyika Old Trafford baada ya Bwanyenye Sir Jim Ratcliffe...
Na ABDULRAHMAN SHERIFF SERIKALI ya Kaunti ya Taita Taveta inayoongozwa na Gavana Andrew Mwadime imeweka historia mpya ya mchezo wa...
NA LABAAN SHABAAN HATA kabla ya mkondo wa 16 wa Kombe la Taifa Bingwa Afrika 2023 (Afcon) kuanza, wakufunzi sita tayari wamepoteza...
NA LABAAN SHABAAN TIMU ya kandanda ya Tanzania, Taifa Stars, imebanduliwa nje ya michuano ya Kombe la Afrika (Afcon 2023) baada ya...
Na SINDA MATIKO BAADA ya kulazimishiwa sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Zambia, majirani Watanzania wengi walionyesha kuumizwa sana na...
NA LABAAN SHABAAN ALIYEKUWA Kocha wa Uganda Cranes, Milutin 'Micho' Sredojevic, 54, ametia chumvi kwenye kidonda cha Algeria baada ya...
NA LABAAN SHABAAN WAWAKILISHI wa Afrika Mashariki, Tanzania, wanaingia katika mechi yao ya mwisho ya Kundi F wakiwa butu mno mbele ya...
NA LABAAN SHABAAN Mabingwa mara mbili wa Kinyang’anyiro cha Kandanda Afrika (AFCON) Algeria walibanduliwa nje ya shindano Jumanne...
NA LABAAN SHABAAN MISRI ilinyemelea na kupenya hadi mkondo 16 wa Dimba la Kandanda la Afrika 2023 (AFCON) katika usiku wa drama...
Na JOHN ASHIHUNDU NAIBU mwenyekiti wa klabu ya Bandari FC, Twaha Mbarak, amejitupa uwanjani kuwania kiti cha urais kwenye uchaguzi ujao...
NA LABAAN SHABAAN ULIMBUKENI wa Taifa Stars wa Tanzania haukuwasaidia kuwanyuka Chipolopolo wa Zambia lakini motisha yao iliwashindia...