• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 10:15 PM

Garnacho, demu wake hawapikiki tena chungu kimoja

NA CHRIS ADUNGO KIPUSA Eva Garcia amezua tetesi za kutengana na kiungo wa Manchester United, Alejandro Garnacho, kupitia ujumbe wake wa...

Man U yanyakua afisa mkuu mtendaji wa Man City ili ‘kuwaibia’ siri za ufanisi

NA LABAAN SHABAAN MASHABIKI wa Manchester United wamefurahia mageuzi yanayofanyika Old Trafford baada ya Bwanyenye Sir Jim Ratcliffe...

Kaunti ya Taita Taveta yakuza vipaji kwa kudhamini mashindano ya riadha

Na ABDULRAHMAN SHERIFF SERIKALI ya Kaunti ya Taita Taveta inayoongozwa na Gavana Andrew Mwadime imeweka historia mpya ya mchezo wa...

Afcon 2023: Makocha wa timu zilizozembea wafukuzwa kazi

NA LABAAN SHABAAN HATA kabla ya mkondo wa 16 wa Kombe la Taifa Bingwa Afrika 2023 (Afcon) kuanza, wakufunzi sita tayari wamepoteza...

Tanzania yatupwa nje ya Afcon awamu ya makundi

NA LABAAN SHABAAN TIMU ya kandanda ya Tanzania, Taifa Stars, imebanduliwa nje ya michuano ya Kombe la Afrika (Afcon 2023) baada ya...

Kikosi cha Tanzania chawekewa Sh80 milioni mezani wakikung’uta DR Congo

Na SINDA MATIKO BAADA ya kulazimishiwa sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Zambia, majirani Watanzania wengi walionyesha kuumizwa sana na...

Kocha wa zamani Uganda Cranes, Micho Milutin, afurahi Algeria kunyukwa na kubanduliwa

NA LABAAN SHABAAN ALIYEKUWA Kocha wa Uganda Cranes, Milutin 'Micho' Sredojevic, 54, ametia chumvi kwenye kidonda cha Algeria baada ya...

Tanzania Ikitoka sare, itasare AFCON2023

NA LABAAN SHABAAN WAWAKILISHI wa Afrika Mashariki, Tanzania, wanaingia katika mechi yao ya mwisho ya Kundi F wakiwa butu mno mbele ya...

Mauritania wapata ushindi wa kwanza unaowaponyoka Tanzania katika AFCON

NA LABAAN SHABAAN Mabingwa mara mbili wa Kinyang’anyiro cha Kandanda Afrika (AFCON) Algeria walibanduliwa nje ya shindano Jumanne...

Ajabu ya Misri kufuzu kwa alama tatu bila ushindi katika mechi tatu AFCON

NA LABAAN SHABAAN MISRI ilinyemelea na kupenya hadi mkondo 16 wa Dimba la Kandanda la Afrika 2023 (AFCON) katika usiku wa drama...

Twaha Mbarak atangaza kuwania kiti cha urais FKF

Na JOHN ASHIHUNDU NAIBU mwenyekiti wa klabu ya Bandari FC, Twaha Mbarak, amejitupa uwanjani kuwania kiti cha urais kwenye uchaguzi ujao...

Tulichambua Zambia vizuri sana na tuna matumaini ya kufuzu – kocha wa Tanzania

NA LABAAN SHABAAN ULIMBUKENI wa Taifa Stars wa Tanzania haukuwasaidia kuwanyuka Chipolopolo wa Zambia lakini motisha yao iliwashindia...