• Nairobi
  • Last Updated December 3rd, 2023 8:00 PM

Murang’a Seal juu ya jedwali huku Gor ikifinya Ulinzi

NA CECIL ODONGO MABINGWA watetezi Gor Mahia walidhihirisha ubabe wao baada ya kuliza Ulinzi Stars 1-0 kwenye mechi kali ya Ligi Kuu...

Kocha Beldine Odemba kutaja kikosi cha Harambee Starlets

NA TOTO AREGE KOCHA mpya wa Harambee Starlets Beldine Odemba, ametwikwa majukumu ya kuiongoza Starlets kwa mechi mbili za kufuzu kwa Kombe...

Liverpool wapigiwa upatu kuhangaisha wapinzani Europa League

Na GEOFFREY ANENE MABINGWA wa Ligi ya Uropa 1972-1973, 1975-1976 na 2001-2001, Liverpool wametiwa katika kundi rahisi la makala ya msimu...

Newcastle United wana kibarua kigumu katika Kundi F

Na MASHIRIKA NEWCASTLE United watamenyana na vigogo Paris St-Germain (PSG), Borussia Dortmund na AC Milan katika hatua ya makundi ya Klabu...

Beki wa kuwapa mashabiki wasiwasi aitwa kikosini

Na MASHIRIKA KOCHA Gareth Southgate wa timu ya taifa ya Uingereza amejumuisha wanasoka Jordan Henderson na Harry Maguire katika kikosi...

Man-City wapewa mswaki katika makundi ya UEFA

Na MASHIRIKA HUKU Newcastle United wakipewa miamba wa haiba katika hatua ya makundi ya gozi la Klabu Bingwa Ulaya (UEFA), Manchester...

Kamworor kutoana jasho na Mo Farah kwenye mbio za Great North Run

Na GEOFFREY ANENE BINGWA wa zamani wa New York City Marathon, Geoffrey Kamworor, atatumia mbio za Great North Run mjini Newcastle nchini...

JKT Queens wadhihirisha ndio malkia wa kweli CECAFA baada ya kutandika CBE

NA TOTO AREGE TIMU ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Queens kutoka Tanzania, itawakilisha Mashirikisho ya Soka Afrika Mashariki na Kati...

Wanagofu 280 kuwania taji la Legendary uwanjani Ruiru

Na GEOFFREY ANENE ZAIDI ya wachezaji 280 wa gofu watakusanyika katika uwanja wa klabu ya gofu ya Ruiru katika kaunti ya Kiambu kuwania...

CECAFA: Vihiga Queens kuvaana na Buja Queens kusaka nafasi ya tatu

NA TOTO AREGE VIHIGA Queens wanapania kuaga dimba la Mashirikisho ya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) kwa kishindo watakapomenyana...

Firat motoni kwa kupuuza wachezaji wa Gor, Tusker na Ingwe kikosini Harambee Stars

NA CECIL ODONGO KOCHA wa Harambee Stars Engin Firat amekashifiwa vikali kwa kuwaacha nje wachezaji wa Gor Mahia, AFC Leopards na Tusker...

Budapest 2023: Hongera Kenya kwa kuwa bingwa Afrika, na nambari 5 duniani 

NA MWANGI MUIRURI  LICHA ya kuonekana dhaifu katika mashindano ya ubingwa wa riadha duniani yaliyoandaliwa nchini Hungary, Kenya...