• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 6:55 PM

Afcon: Morocco wafungishwa virago na Afrika Kusini

Na MASHIRIKA ABIDJAN, COTE D'IVOIRE MASHABIKI wa soka waliendelea kushuhudia matokeo ya kustaajabisha baada ya Morocco kubanduliwa na...

Hatimaye ndovu Cote d’Ivoire wapanda mtini

NA MASHIRIKA WENYEJI, Cote d’Ivoire wamefuzu kwa robo-fainali ya Kombe la Taifa Bingwa Afrika (Afcon 2023) baada ya kubandua mabingwa...

Junior Starlets wajifua kwa mechi dhidi ya DRC

Na TOTO AREGE TIMU ya Kenya ya Wasichana chini ya umri wa miaka 17 almaarufu Junior Starlets, inaendelea kujifua kwa maandalizi ya mechi...

Dereva Jim Heather-Hayes atawazwa mwanamichezo bora mbio za magari baada ya kufariki  

NA GEOFFREY ANENE MWENDAZAKE Jim Heather-Hayes ametawazwa mwanamichezo bora wa mwaka 2023 wa Shirikisho la Mbio za Magari nchini Kenya...

Kenya yang’aa Marrakech Marathon Kitwara akivuna Sh1.6 milioni

NA GEOFFREY ANENE MKENYA Sammy Kitwara ameibuka mfalme wa Marrakech Marathon na kujizolea Sh1.6 milioni kwenye mbio hizo zilizovutia...

Garnacho, demu wake hawapikiki tena chungu kimoja

NA CHRIS ADUNGO KIPUSA Eva Garcia amezua tetesi za kutengana na kiungo wa Manchester United, Alejandro Garnacho, kupitia ujumbe wake wa...

Man U yanyakua afisa mkuu mtendaji wa Man City ili ‘kuwaibia’ siri za ufanisi

NA LABAAN SHABAAN MASHABIKI wa Manchester United wamefurahia mageuzi yanayofanyika Old Trafford baada ya Bwanyenye Sir Jim Ratcliffe...

Kaunti ya Taita Taveta yakuza vipaji kwa kudhamini mashindano ya riadha

Na ABDULRAHMAN SHERIFF SERIKALI ya Kaunti ya Taita Taveta inayoongozwa na Gavana Andrew Mwadime imeweka historia mpya ya mchezo wa...

Afcon 2023: Makocha wa timu zilizozembea wafukuzwa kazi

NA LABAAN SHABAAN HATA kabla ya mkondo wa 16 wa Kombe la Taifa Bingwa Afrika 2023 (Afcon) kuanza, wakufunzi sita tayari wamepoteza...

Tanzania yatupwa nje ya Afcon awamu ya makundi

NA LABAAN SHABAAN TIMU ya kandanda ya Tanzania, Taifa Stars, imebanduliwa nje ya michuano ya Kombe la Afrika (Afcon 2023) baada ya...

Kikosi cha Tanzania chawekewa Sh80 milioni mezani wakikung’uta DR Congo

Na SINDA MATIKO BAADA ya kulazimishiwa sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Zambia, majirani Watanzania wengi walionyesha kuumizwa sana na...

Kocha wa zamani Uganda Cranes, Micho Milutin, afurahi Algeria kunyukwa na kubanduliwa

NA LABAAN SHABAAN ALIYEKUWA Kocha wa Uganda Cranes, Milutin 'Micho' Sredojevic, 54, ametia chumvi kwenye kidonda cha Algeria baada ya...