• Nairobi
  • Last Updated September 28th, 2023 10:25 PM

Bingwa Eliud Kipchoge asubiriwa na kibarua kigumu katika Berlin Marathon

Na GEOFFREY ANENE BINGWA mara nne wa Berlin Marathon (2015, 2017, 2018 na 2022) Eliud Kipchoge anasubiri kwa hamu mtihani mkali katika...

Shujaa watuzwa Sh3 milioni kwa kuangusha miamba Afrika Kusini na kufuzu Olimpiki

Na GEOFFREY ANENE KENYA Shujaa wametunukiwa na serikali Sh3 milioni kwa juhudi zao kwenye Kombe la Afrika la raga ya wachezaji saba kila...

Good Hope moto kwa Mvita ligini

NA CHARLES ONGADI GOOD Hope FC iliimarisha kampeni ya kuhifadhi taji la Ligi ya Mombasa Premier kwa kuilaza Mvita Youngsters 2-0 katika...

Wanaraga wa kike wa Kenya wapoteza vibaya dhidi ya Afrika Kusini

Na GEOFFREY ANENE KENYA Lionesses wamepokea kichapo kikali cha pointi 77-12 Jumamosi mikononi mwa wenyeji Afrika Kusini katika mechi ya...

Liverpool watoka nyuma na kuendeleza masaibu ya Wolves katika EPL

Na MASHIRIKA LIVERPOOL walifunga mabao mawili mwishoni mwa kipindi cha pili katika mechi ya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) iliyowashuhudia...

Shujaa yajikatia tiketi ya robo-fainali Kombe la Afrika

Na GEOFFREY ANENE KENYA Shujaa imetinga robo-fainali ya Kombe la Afrika la raga ya wachezaji saba kila upande baada ya kulipua Namibia kwa...

Kenya Lionesses kikaangioni dhidi ya Afrika Kusini

Na GEOFFREY ANENE KENYA Lionesses na Kenya Shujaa watakuwa mawindoni leo Septemba 16 kwa mechi muhimu nchini Afrika Kusini na Zimbabwe,...

Man-City waendea ‘Nyundo’

NA MASHIRIKA MANCHESTER City na West Ham watakutana kwa mara ya 120 Ligi Kuu ya Uingereza itakaporejea leo Jumamosi baada ya majukumu ya...

Bungoma Queens waingia sokoni kusaka majembe kabla ya msimu mpya

NA TOTO AREGE ZIKIWA zimesalia wiki mbili kabla ya msimu wa 2023/24 wa Ligi Kuu ya Wanawake nchini (FKF-WPL) kuanza rasmi, shughuli za...

Mshambulizi Judith Atieno arefusha mkataba klabuni Rayon Sports Women

NA TOTO AREGE MSHAMBULIZI wa Harambee Starlets Judith Atieno ameongeza mkataba wa mwaka mmoja na klabu ya Rayon Sports Women ya Ligi Kuu...

Maguire alivyofanya ‘ile kitu’ mara hii kwa timu ya Uingereza!

GLASGOW, Scotland Kocha Gareth Southgate wa timu ya Uingereza amemtetea mlinzi Harry Maguire dhidi ya mashabiki waliomfokea vikali baada...

Aibu Kenya ikilimwa na Sudan Kusini nyumbani Kasarani

Na CECIL ODONGO Mashabiki wa soka nchini jana waliondoka uwanjani Kasarani kwa ghadhabu na aibu baada ya timu ya taifa Harambee Stars...