LONDON, UINGEREZA MANCHESTER City na Arsenal watakuwa mawindoni kupunguza presha ya kuachwa na Liverpool kwenye Ligi Kuu (EPL)...
NA HASSAN WANZALA VIONGOZI mbalimbali wametoa wito kwa serikali na kampuni za vifaa vya michezo kuwajali wanariadha ili kupiga jeki...
NA MASHIRIKA PORTO, URENO: KAMBI ya Arsenal imejaa masikitiko baada ya kupigwa bao moja chungu na FC Porto dakika ya mwisho katika...
NA KALUME KAZUNGU MARA nyingi mtu hujipata akifanya vyema kwenye mchezo fulani, iwe ni kandanda, raga, netiboli, magongo, voliboli,...
NA TITUS OMINDE KWA muda wa saa tano, mwanapatholojia wa serikali Johansen Oduor amekuwa makini akifanya uchunguzi wa kina kwa mwili wa...
PARIS, UFARANSA SASA ni rasmi mshambuliaji matata Kylian Mbappe ataondoka Paris Saint Germain (PSG) ya Ligue 1 na kujiunga na Real Madrid...
NA JOHN ASHIHUNDU MARAIS wa nchi za Ivory Coast na Nigeria wametoa pongezi na zawadi nono za mamilioni ya pesa pamoja na nyumba kwa...
NA TOTO AREGE MCHEZAJI chipukizi wa mchezo wa chesi Robert Mcligeyo kwa mara ya pili mfululizo, amefanikiwa kuingia kwenye kikosi cha...
NA MASHIRIKA LIVERPOOL waliendelea kudhibiti usukani wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) na kujiweka pazuri kutawazwa mabingwa wa kipute...
NA JOHN ASHIHUNDU KOCHA Gervais Hakizimana alikuwa mkimbiaji mstaafu wa taifa la Rwanda aliyeshindia nchi yake mataji kadhaa katika mbio...
CECIL ODONGO na JOHN ASHIHUNDU AFC Leopards jana iliendeleza wimbi la matokeo mazuri, huku Shabana ikinyeshewa 4-0 na Tusker kwenye mechi...
Na GEOFFREY ANENE VITA vya ubabe vilivyotarajiwa kwa hamu kubwa kwenye mbio za kilomita 42 kati ya Wakenya Eliud Kipchoge na Kelvin Kiptum...