• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 6:55 AM

UEFA: Manchester City na Real Madrid kumaliza udhia leo usiku

NA MASHIRIKA MANCHESTER, UINGEREZA SARE ya 1-1 katika mkondo wa kwanza wa nusu-fainali ya Klabu Bingwa (UEFA) ugani Santiago...

Shujaa kuanza vita vya kuponea shoka dhidi ya Canada Raga za Dunia jijini London

Na GEOFFREY ANENE DROO ya duru ya mwisho ya Raga za Dunia 2022-2023 imetangazwa ambapo Kenya Shujaa itaanza kampeni ya kukwepa kutemwa...

Atieno aizolea Kenya sifa kwa kutetemesha ligini Rwanda

NA AREGE RUTH MSHAMBULIZI wa Harambee Starlets Judith Atieno ana kila sababu ya kutabasamu baada ya kuibuka wa pili katika mbio za kiatu...

Inter roho juu ikirudiana na AC Milan nusu fainali ya UEFA

NA MASHIRIKA INTER Milan watashuka ugani San Siro leo usiku wakilenga kumaliza kazi dhidi ya watani wao AC Milan na kutinga fainali ya...

SJAK na LG wasaini kandarasi ya Sh3.5m kutuza wanamichezo bora Kenya

Na GEOFFREY ANENE CHAMA cha Waandishi wa habari za michezo nchini Kenya (SJAK) kimesaini kandarasi mpya na kampuni ya vifaa vya...

Manchester City kunusia taji leo Jumapili ikikomoa Everton

Na MASHIRIKA MANCHESTER City watashuka leo Jumapili ugani Goodison Park wakilenga kukomoa Everton na kuanza kunusia ubingwa wa Ligi Kuu...

JAGINA WA SPOTI: Huyu Sidi alikuwa kodriva ngangari katika Safari Rally

NA GEOFFREY ANENE HAITAKUWA haki kuzungumzia mashindano ya magari nchini Kenya bila kumtaja Abdul Sidi. Sidi, 70, anafahamu kila kona...

Simiu ni mfalme mpya wa Kip Keino Classic mita 10000

Na GEOFFREY ANENEĀ  MSHINDI wa medali ya fedha ya Jumuiya ya Madola Daniel Simiu alisisimua mashabiki kwenye Riadha za Kip Keino Classic...

Absa Kip Keino Classic: Ferdinand Omanyala ahifadhi taji lake mbio za mita 100

NA GEOFFREY ANENE BINGWA wa Jumuiya ya Madola na Afrika mbio za mita 100, Ferdinand Omanyala aliwapa raha mashabiki wake baada ya...

Ulinzi Starlets kuvaana na Kispeed Queens kombe la FKF

NA TOTO AREGE MABINGWA watetezi wa Kombe la Shirikisho la Soka la Kenya (FKF) Ulinzi Starlets wanaendelea na kutetea taji lao ugenini,...

Waziri Owalo ajitokeza kusaidia majagina wa Gor Mahia

NA JOHN ASHIHUNDU WAZIRI wa Teknolojia na Mawasiliano, Eliud Owalo ameanzisha mpango mahususi wa kusaidia wachezaji wa zamani wa klabu ya...

Man-City pazuri kutinga fainali ya UEFA baada ya kulazimishia Real sare

Na MASHIRIKA MANCHESTER City walijiweka pazuri kufuzu kwa fainali ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu wa 2022-23 jijiniĀ Istanbul,...