NA MASHIRIKA PARIS, Ufaransa ALIYEKUWA kocha wa klabu ya FC Schalke 04, Spartak Moscow na RB Leipzig, Domenico Tedesco ameteuliwa kuwa...
NA ABDULRAHMAN SHERIFF RAIS wa Shirikisho la Tong-IL Moo-Do la Kenya, Clarence Mwakio amesema kifo cha Gordon Ochieng (pichani)...
NA AREGE RUTH WACHEZAJI watatu wa Harambee Starlets mshambuliaji Mwanahalima Adams, mabeki Vivian Nasaka na Phoebe Oketch ambao...
NA MASHIRIKA LONDON, Uingereza MCHECHETO umeikumba klabu ya Manchester City baada ya kubainika kuwa huenda ikaadhibiwa vikali kwa makosa...
NA CECIL ODONGO GOR MAHIA na Tusker leo Jumatano zitavaana kwenye mechi kali ya Ligi Kuu (KPL) itakayosakatwa katika uga wa Kasarani...
Na MASHIRIKA MANCHESTER City sasa wanakodolea macho hatari ya kutozwa faini, kunyofolewa alama au kudondoshwa kwenye Ligi Kuu ya Uingereza...
Na MASHIRIKA BAYERN Munich walirejea kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga) baada ya kushinda VfL Wolfsburg 4-2...
Na MASHIRIKA BAO la Harry Kane ambaye sasa ni mfungaji bora wa muda wote kambini mwa Tottenham Hotspur lilisaidia waajiri wake kukomoa...
NA AREGE RUTH KATIKA raundi ya nane ya mechi za Ligi Kuu ya Wanawake nchini (KWPL), mabao 21 yalifungwa ikilinganishwa na raundi ya tano...
NA JOHN ASHIHUNDU USHINDI wa 3-0 dhidi ya Mara Sugar katika pambano la Supa Ligi (NSL) umeongeza matumaini ya Murang’a Seal FC kufuzu...
Na MASHIRIKA LAUTARO Martinez alifunga bao la pekee lililovunia Inter Milan ushindi wa 1-0 dhidi ya watani wao wakuu AC Milan katika Ligi...
Na MASHIRIKA FOWADI Harry Kane ametaka mashabiki kutarajia mabao mengi zaidi kutoka kwake baada ya kumpita nguli Jimmy Greaves na kuwa...