• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 2:00 PM

Ubelgiji yapata kocha mpya

NA MASHIRIKA PARIS, Ufaransa ALIYEKUWA kocha wa klabu ya FC Schalke 04, Spartak Moscow na RB Leipzig, Domenico Tedesco ameteuliwa kuwa...

TANZIA: Huzuni baada ya mchezaji nyota wa Tong-IL Moo-Do kufariki

NA ABDULRAHMAN SHERIFF RAIS wa Shirikisho la Tong-IL Moo-Do la Kenya, Clarence Mwakio amesema kifo cha Gordon Ochieng (pichani)...

Tetemeko: Phoebe Oketch athibitisha yeye na wenzake 2 wa Harambee Starlets wako salama nchini Uturuki

NA AREGE RUTH  WACHEZAJI watatu wa Harambee Starlets mshambuliaji Mwanahalima Adams, mabeki Vivian Nasaka na Phoebe Oketch ambao...

Hali ya Man City si shwari tena

NA MASHIRIKA LONDON, Uingereza MCHECHETO umeikumba klabu ya Manchester City baada ya kubainika kuwa huenda ikaadhibiwa vikali kwa makosa...

Nguo kuchanika K’Ogalo wakionana na Tusker FC

NA CECIL ODONGO GOR MAHIA na Tusker leo Jumatano zitavaana kwenye mechi kali ya Ligi Kuu (KPL) itakayosakatwa katika uga wa Kasarani...

Manchester City washtakiwa kwa kukiuka sheria za matumizi ya fedha zaidi ya mara 100

Na MASHIRIKA MANCHESTER City sasa wanakodolea macho hatari ya kutozwa faini, kunyofolewa alama au kudondoshwa kwenye Ligi Kuu ya Uingereza...

Bayern watandika Wolfsburg na kurejea kileleni mwa jedwali la Bundesliga

Na MASHIRIKA BAYERN Munich walirejea kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga) baada ya kushinda VfL Wolfsburg 4-2...

Tottenham Hotspur wazamisha chombo cha Man-City katika EPL

Na MASHIRIKA BAO la Harry Kane ambaye sasa ni mfungaji bora wa muda wote kambini mwa Tottenham Hotspur lilisaidia waajiri wake kukomoa...

KWPL: Mvua ya mabao kwenye raundi ya nane

NA AREGE RUTH KATIKA raundi ya nane ya mechi za Ligi Kuu ya Wanawake nchini (KWPL), mabao 21 yalifungwa ikilinganishwa na raundi ya tano...

Murang’a Seal yashinda na kujiongezea matumaini ya kufuzu

NA JOHN ASHIHUNDU USHINDI wa 3-0 dhidi ya Mara Sugar katika pambano la Supa Ligi (NSL) umeongeza matumaini ya Murang’a Seal FC kufuzu...

Lautaro Martinez asaidia Inter kuangusha AC Milan katika gozi la Serie A ugani San Siro

Na MASHIRIKA LAUTARO Martinez alifunga bao la pekee lililovunia Inter Milan ushindi wa 1-0 dhidi ya watani wao wakuu AC Milan katika Ligi...

Harry Kane avunja rekodi ya Jimmy Greaves na kuwa mfungaji bora wa muda wote kambini mwa Tottenham Hotspur kwa mabao 267

Na MASHIRIKA FOWADI Harry Kane ametaka mashabiki kutarajia mabao mengi zaidi kutoka kwake baada ya kumpita nguli Jimmy Greaves na kuwa...