• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 7:50 AM

Afcon: Wenyeji Cote d’Ivoire kuvaana na Guinea-Bissau

NA MASHIRIKA FAINALI za Kombe la Mataifa (Afcon) zitaanza kesho Jumamosi nchini Cote d'Ivoire, huku mataifa 24 yakikabiliana katika...

Onana wa Manchester United atasaidia Cameroon katika Afcon?

NA MWANGI MUIRURI GOZI la kutafuta bingwa wa soka katika bara la Afrika (Afcon) litaanza kusakatwa rasmi mnamo Januari 13 hadi Februari...

Gachagua akamilisha mbio za mita 100 licha ya kujikwaa

Na MWANGI MUIRURI NAIBU Rais Rigathi Gachagua kwa sasa anajivunia kasi ya sekunde 59.8 katika mbio za mita 100 baada ya kujizatiti...

Mgombea wa urais FKF ahofia maisha yake ushindani ukitiwa doa

Na JOHN ASHIHUNDU AFISA Mkuu Mtendaji wa Shirika la Extreme Sports, Hussein Mohammed, anahofia usalama wa maisha yake siku chache tu...

Jinsi mashindano ya waheshimiwa yalivyovutia mashabiki kuliko ligi za FKF

Na JOHN ASHIHUNDU MASHINDANO maalum ya soka yaliyodhaminiwa na watu binafsi majuzi katika sehemu mbalimbali kote nchini wakati wa...

Kidume cha mbegu: Neymar atarajia mtoto wa tatu!

NA CHRIS ADUNGO FOWADI mzoefu wa Brazil, Neymar, anatazamiwa kuwa baba mzazi kwa mara ya tatu. Tovuti ya LeoDias nchini Brazil, imefichua...

FA: Mashabiki wa Manchester United kuganda na Arsenal

NA MWANGI MUIRURI MASHABIKI wa klabu ya Manchester United katika maeneo mengi ya Mlima Kenya, wameapa kuunga mkono timu ya Arsenal...

Arsenal yaingia sokoni kusaka beki wa kushoto ‘blanda’ za Zinchenko zikiwafika kooni

NA CECIL ODONGO KOCHA wa Arsenal Mikel Arteta, amesema kuwa lengo lake kuu katika kipindi cha usajili wa wachezaji Januari hii ni kumpata...

Wito wa usawa wa tuzo kwa wanamichezo wa kike, kiume

Na FRIDAH OKACHI WATETEZI wa haki wamelaumu baadhi ya wanasiasa kwa kufadhili mashindano ya michezo katika maeneo mbalimbali yanayoishia...

Jasiri: Mabingwa wa Mombasa Open wajiandaa kwa Mashindano ya Dunia

Na ABDULRAHMAN SHERIFF MASHINDANO ya Makala ya 11 ya Mombasa Open Tong-IL Moo-Do International Championship yaliyomalizika Desemba 2023,...

Rooney wa Man U apeleka ‘nuksi’ ya vichapo Birmingham na kwa hilo amefutwa

NA LABAAN SHABAAN MENEJA wa Birmingham City Wayne Rooney amemwaga unga baada ya kuwa kocha kwa siku 83 tu katika klabu hiyo ya daraja la...

Hii imeenda? Liverpool sasa waanza kunusa ubingwa wa EPL

LONDON, Uingereza HUU ukiwa msimu unaotarajiwa kusajili mabao mengi zaidi katika historia ya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), Liverpool...