• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 8:55 PM

Super Eagles wa Nigeria watamla ndovu Cote d’Ivoire katika fainali?

JOHN ASHIHUNDU Na MASHIRIKA KILELE cha kuwinda taji la Taifa Bingwa Afrika (Afcon 2023) kinafika leo Jumapili kwa pambano la fainali...

Twaha Mbarak aunga Mwendwa kuzuiwa kuwania urais FKF

NA CECIL ODONGO WITO kuwa Rais wa Shirikisho la Soka Nchini (FKF) Nick Mwendwa asiwanie Urais kwa mara ya tatu, unaendelea kushika kasi...

Ni fainali ya ‘Oga’ kumla ‘Ndovu’ dimba la AFCON

ABIDJAN, Cote d'Ivoire NIGERIA walisherehekea kufika fainali ya Kombe la Afrika (AFCON) kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 11...

VAR yaongeza ladha ya Afcon

Na JOHN ASHIHUNDU MASHABIKI wanaofuatilia kwa karibu michuano ya Taifa Bingwa Afrika (Afcon 2023) nchini Cote d'Ivoire wameridhishwa na...

Barua ya Samuel Eto’o kujiuzulu yakataliwa

JOHN ASHIHUNDU NA MASHIRIKA KAMATI Kuu ya Shirikisho la Soka nchini Cameroon (FECAFOOT) imekataa kuidhinisha barua ya kujiuzulu kwa rais...

Jinsi Arsenal waliitoa Liverpool pumzi

NA MASHIRIKA ARSENAL walidhihirisha kuwa wangali na fursa na uwezo wa kutawazwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu baada...

Arsenal Vs Liverpool: The Reds wana majeraha tele, nao ‘ndovu’ wakijaribu kurudi juu ya mti

UPDATE 21:30: Arsenal yashinda 3-1 ugani Emirates  NA LABAAN SHABAAN KAMBI za klabu za Uingereza, Arsenal na Liverpool, zimezagaa...

Junior Starlets yavuna, DRC ikijiondoa mashindanoni

NA TOTO AREGE TIMU ya taifa ya wasichana wasiozidi umri wa miaka 17 almaarufu Junior Starlets, imefuzu raundi ya tatu ya michuano ya...

DR Congo wapiga Guinea kuendelea kucheza ‘Lingala’ katika Afcon

NA MASHIRIKA 'CHUI' wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo walituma onyo kali kwa timu zilizosalia kwenye fainali za Kombe la Afrika...

Nigeria pazuri kuzoa taji la nne la Afcon baada ya kudengua Angola katika robo-fainali

Na MASHIRIKA WAFALME mara tatu wa Kombe la Afrika (Afcon), Nigeria, ndio walikuwa wa kwanza kufuzu kwa nusu-fainali baada ya kupepeta...

Mechi isiyotabirika ‘Sauzi’ na Cape Verde zikikabana koo robo fainali Afcon

JOHN ASHIHUNDU NA MASHIRIKA AFRIKA Kusini inapewa nafasi kubwa ya kushinda Cape Verde Jumamosi usiku na kufuzu kwa nusu-fainali ya...

Mkongwe Emilio Nsue aongoza ufungaji mabao robo fainali Afcon ikianza Ijumaa

JOHN ASHIHUNDU NA MASHIRIKA DIMBA la Afcon linaingia hatua ya robo-fainali Ijumaa na Jumamosi huku vita vya kuwania Kiatu cha Dhahabu...