JOHN ASHIHUNDU Na MASHIRIKA KILELE cha kuwinda taji la Taifa Bingwa Afrika (Afcon 2023) kinafika leo Jumapili kwa pambano la fainali...
NA CECIL ODONGO WITO kuwa Rais wa Shirikisho la Soka Nchini (FKF) Nick Mwendwa asiwanie Urais kwa mara ya tatu, unaendelea kushika kasi...
ABIDJAN, Cote d'Ivoire NIGERIA walisherehekea kufika fainali ya Kombe la Afrika (AFCON) kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 11...
Na JOHN ASHIHUNDU MASHABIKI wanaofuatilia kwa karibu michuano ya Taifa Bingwa Afrika (Afcon 2023) nchini Cote d'Ivoire wameridhishwa na...
JOHN ASHIHUNDU NA MASHIRIKA KAMATI Kuu ya Shirikisho la Soka nchini Cameroon (FECAFOOT) imekataa kuidhinisha barua ya kujiuzulu kwa rais...
NA MASHIRIKA ARSENAL walidhihirisha kuwa wangali na fursa na uwezo wa kutawazwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu baada...
UPDATE 21:30: Arsenal yashinda 3-1 ugani Emirates NA LABAAN SHABAAN KAMBI za klabu za Uingereza, Arsenal na Liverpool, zimezagaa...
NA TOTO AREGE TIMU ya taifa ya wasichana wasiozidi umri wa miaka 17 almaarufu Junior Starlets, imefuzu raundi ya tatu ya michuano ya...
NA MASHIRIKA 'CHUI' wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo walituma onyo kali kwa timu zilizosalia kwenye fainali za Kombe la Afrika...
Na MASHIRIKA WAFALME mara tatu wa Kombe la Afrika (Afcon), Nigeria, ndio walikuwa wa kwanza kufuzu kwa nusu-fainali baada ya kupepeta...
JOHN ASHIHUNDU NA MASHIRIKA AFRIKA Kusini inapewa nafasi kubwa ya kushinda Cape Verde Jumamosi usiku na kufuzu kwa nusu-fainali ya...
JOHN ASHIHUNDU NA MASHIRIKA DIMBA la Afcon linaingia hatua ya robo-fainali Ijumaa na Jumamosi huku vita vya kuwania Kiatu cha Dhahabu...