NA WINNIE ONYANDO MUUNGANO wa Azimio la Umoja-One Kenya, umetoa wito kwa Wakenya kujitokeza kwa wingi Jumanne wiki ijayo katika uwanja...
NA BENSON MATHEKA SERIKALI ya Rais William Ruto imepunguza marupurupu ya kustaafu yaliyotengewa Marais wastaafu kwa Sh20 milioni katika...
NA CHARLES WASONGA KUPITISHWA kwa Mswada wa Fedha wa 2023 Jumatano usiku kumesababisha joto katika kambi ya Azimio huku chama cha ODM...
NA WANDERI KAMAU MBUNGE wa Githunguri Gathoni Wamuchomba amesema kuwa haogopi kuchukuliwa hatua zozote za kinidhamu na chama tawala cha...
NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto hajakuwa mwepesi kumruhusu Naibu wake Rigathi Gachagua kuongoza uzinduzi wa miradi mikubwa ya...
NA RICHARD MUNGUTI KINARA wa mawaziri Musalia Mudavadi amewataka wale wanaopinga Mswada wa Fedha wa 2023 waipendekezee serikali ya Kenya...
NA MARY WANGARI SENETA wa Kilifi Stewart Madzayo amefunguka kuhusu masaibu anayokumbana nayo tangu alipoacha kazi ya jaji wa mahakama...
NA SAMWEL OWINO SENETA wa Kaunti ya Siaya Oburu Oginga na Mbunge Mwakilishi wa Jinsia ya Kike wa Kaunti ya Siaya Christine Ombaka sasa...
Na BENSON MATHEKA MUUNGANO wa Azimio La Umoja-One Kenya, unaoongozwa na aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga, tayari umeweka mikakati ya...
NA GEORGE OIDIWUOR WABUNGE wa mrengo wa Azimio La Umoja-One Kenya wametishia kuvuruga usomaji wa bajeti iwapo Mswada wa Fedha wa 2023...
NA CHARLES WASONGA KWA mara nyingine juhudi za Rais mstaafu Uhuru Kenyatta kurejesha udhibiti wake wa chama cha Jubilee zimepata pigo...
NA BENSON MATHEKA SPIKA wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang’ula amesuta muungano wa Azimio La Umoja-One Kenya unaongozwa na Raila Odinga...