• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 10:55 AM

Azimio: Tukutane Kamukunji Grounds

NA WINNIE ONYANDO MUUNGANO wa Azimio la Umoja-One Kenya, umetoa wito kwa Wakenya kujitokeza kwa wingi Jumanne wiki ijayo katika uwanja...

Pigo kwa Uhuru marupurupu ya marais wastaafu yakipunguzwa

NA BENSON MATHEKA SERIKALI ya Rais William Ruto imepunguza marupurupu ya kustaafu yaliyotengewa Marais wastaafu kwa Sh20 milioni katika...

Wabunge wa Azimio waliokwepa kura au kuunga mkono Mswada wa Fedha kuadhibiwa

NA CHARLES WASONGA KUPITISHWA kwa Mswada wa Fedha wa 2023 Jumatano usiku kumesababisha joto katika kambi ya Azimio huku chama cha ODM...

Wamuchomba: Ruto anasaliti Mlima Kenya

NA WANDERI KAMAU MBUNGE wa Githunguri Gathoni Wamuchomba amesema kuwa haogopi kuchukuliwa hatua zozote za kinidhamu na chama tawala cha...

Ruto anavyomdhibiti Gachagua

NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto hajakuwa mwepesi kumruhusu Naibu wake Rigathi Gachagua kuongoza uzinduzi wa miradi mikubwa ya...

‘Acheni domo mtupe mbinu mbadala za ukusanyaji ushuru’

NA RICHARD MUNGUTI KINARA wa mawaziri Musalia Mudavadi amewataka wale wanaopinga Mswada wa Fedha wa 2023 waipendekezee serikali ya Kenya...

Seneta Madzayo ajutia uamuzi wake wa kuacha kazi ya ‘utulivu’ mahakamani

NA MARY WANGARI SENETA wa Kilifi Stewart Madzayo amefunguka kuhusu masaibu anayokumbana nayo tangu alipoacha kazi ya jaji wa mahakama...

Oburu Oginga na Ombaka wataka Orengo na naibu wake wasuluhishe tofauti zao

NA SAMWEL OWINO SENETA wa Kaunti ya Siaya Oburu Oginga na Mbunge Mwakilishi wa Jinsia ya Kike wa Kaunti ya Siaya Christine Ombaka sasa...

Mswada wa Fedha: Mikakati ya Azimio kuuzima imeiva

Na BENSON MATHEKA MUUNGANO wa Azimio La Umoja-One Kenya, unaoongozwa na aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga, tayari umeweka mikakati ya...

Azimio wala njama kuyumbisha Mswada wa Fedha na usomaji wa bajeti

NA GEORGE OIDIWUOR WABUNGE wa mrengo wa Azimio La Umoja-One Kenya wametishia kuvuruga usomaji wa bajeti iwapo Mswada wa Fedha wa 2023...

Pigo kwa Uhuru na Kioni, msajili wa vyama vya kisiasa akidinda kuidhinisha maamuzi ya NDC

NA CHARLES WASONGA KWA mara nyingine juhudi za Rais mstaafu Uhuru Kenyatta kurejesha udhibiti wake wa chama cha Jubilee zimepata pigo...

Wetang’ula asuta Azimio

NA BENSON MATHEKA SPIKA wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang’ula amesuta muungano wa Azimio La Umoja-One Kenya unaongozwa na Raila Odinga...