• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

Simbajike Wamuchomba akataa kuunga ripoti ya kumtengenezea Raila ofisi ya mshahara

NA WANDERI KAMAU MBUNGE wa Githunguri, Gathoni Wamuchomba, Jumatatu alisema kuwa hataunga mkono ripoti ya Kamati ya Mazungumzo ya Kitaifa...

Magavana wa eneo la Gusii waonekana kuzima moto wa migogoro na manaibu wao

NA WYCLIFFE NYABERI BAADA ya kukwaruzana na kulaumiana kwa muda, hatimaye magavana kutoka eneo la Gusii wameonekana kuzizika tofauti zao...

Uhuru ni kikwazo kwa maridhiano, adai Mudavadi

NA PIUS MAUNDU KINARA wa Mawaziri, Musalia Mudavadi, sasa anamtaka Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta aunge mkono Ripoti ya Jopo la Kitaifa la...

Gachagua ataka Wakenya wampe Rais Ruto muda wa kuimarisha uchumi

DPCS na CHARLES WASONGA NAIBU Rais Rigathi Gachagua amewataka Wakenya kuwa na imani kwamba Rais William Ruto ataimarisha uchumi wa...

Kioni aona Jubilee ikirejea mamlakani 2027

NA MWANGI MUIRURI ALIYEKUWA mbunge wa Ndaragwa Bw Jeremiah Kioni mnamo Desemba 15, 2023, alifichua kwamba Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta...

Sasa madiwani watishia kumbandua Naibu Gavana wa Trans Nzoia

NA EVANS JAOLA Naibu Gavana wa Trans Nzoia Philomena Kapkory angali anaandamwa na masaibu baada ya Gavana George Natembeya kujisafisha...

Najuta sana kutounga Wanyonyi Ugavana Nairobi, Igathe hakutosha – Raila

NA CECIL ODONGO KINARA wa Upinzani Raila Odinga amejutia hatua ya Muungano wa Azimio kutomkabidhi Mbunge wa Westlands Tim Wanyonyi tiketi...

Tim Wanyonyi tosha kwa ugavana wa Nairobi 2027- Raila

NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Azimio La Umoja-One Kenya Raila Odinga amemwidhinisha Mbunge wa Westlands Timothy Wanyonyi kuwa...

Wanasiasa wa UDA North Rift waelezea matumaini ya uchaguzi huru

NA TITUS OMINDE WANASIASA wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) kutoka North Rift wamewahakikishia wafuasi wao kuwa uchaguzi wa...

Mkono wa Rais Ruto ulivyomtoa Wamatangi vinywani mwa MCAs

NA SIMON CIURI NAIBU Rais Rigathi Gachagua, kwa mara ya pili katika muda wa chini ya miezi minane ameitisha mkutano na viongozi...

ODM yaanza kufuta nyayo za UDA Nyanza

NA GEORGE ODIWUOR CHAMA cha ODM kimeanza kuwakusanya wafuasi wake kukabili uvamizi wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) katika...

Spika wa Bunge la Siaya akanusha njama ya kumng’oa Gavana Orengo licha ya duru kusema madiwani 30 ‘wameshaamua’

NA KASSIM ADINASI SPIKA wa Bunge la Kaunti ya Siaya George Okode amekanusha kuwepo kwa njama yoyote ya kumbandua Gavana James...