• Nairobi
  • Last Updated May 10th, 2024 7:55 PM

Raila azuru Kilifi kukipa chama cha ODM mvuto mpya

NA ALEX KALAMA KIONGOZI wa chama cha Orange Democratic Movement (ODM) Raila Odinga amewasili katika ukumbi wa Red Cross mjini Malindi,...

Mtikiso wa nyayo za Raila waangusha dari la PAA Pwani

NA ALEX KALAMA CHAMA cha Orange Democratic Movement (ODM) kikiwa kinajivunia kupokea baadhi ya wanasiasa waliohama chama cha Pamoja...

Junet haendi popote, asema Raila

NA STEPHEN ODUOR KIONGOZI wa chama cha Orange Democratic Movement (ODM) Raila Odinga, amekanusha madai ya kuwepo kwa njama ya kumtimua...

Seneta Wamatinga awataka viongozi Mlimani kudandia ‘basi’ moja

NA WANDERI KAMAU SENETA wa Nyeri Wahome Wamatinga amesema ingekuwa vyema viongozi kutoka Mlima Kenya kushabikia vyama vyenye mizizi...

Viongozi wa Agikuyu Rift Valley wamtaka Ndindi Nyoro kuwa na subira

NA EVANS JAOLA JAMII ya Agikuyu katika eneo la Bonde la Ufa inayoegemea upande wa Naibu Rais Rigathi Gachagua, imemtaka Mbunge wa Kiharu...

Kanini Kega: Kuna mkono fiche unaomfadhili Nyoro kumpiga vita Gachagua

NA WANDERI KAMAU MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) Kanini Kega amedai kwamba kuna mkono fiche unaotumia mbunge wa Kiharu Ndindi...

Ndindi Nyoro atakubali wito wa kushirikiana na Maina Njenga?

NA WANDERI KAMAU HATUA ya aliyekua kiongozi wa kundi la Mungiki, Bw Maina Njenga, kumrai mbunge Ndindi Nyoro (Kiharu) kubuni muungano wa...

Maina Njenga: Ilitabiriwa mimi kuwa ‘kingpin’ Mlimani

NA WANDERI KAMAU ALIYEKUWA kiongozi wa kundi haramu la Mungiki, Maina Njenga, sasa amedai kuwa kuna utabiri uliotolewa kwamba "mimi...

Gavana Kahiga awachemkia waliosema ‘Ndindi Tosha’

NA MERCY MWENDE GAVANA wa Nyeri Mutahi Kahiga ametishia kwamba migawanyiko inayoshuhudiwa katika eneo la Mlima Kenya itawaponza wakazi...

Gavana Otuoma atafuta washirika wapya baada ya kuzomewa nyumbani

NA HASSAN WANZALA GAVANA wa Busia Paul Otuoma sasa anaonekana waziwazi akitafuta washirika wapya baada ya kukataliwa nyumbani...

Mkutano wa mahakama na Rais utazaa haramu – Raila

NA RUSHDIE OUDIA KIONGOZI wa Azimio La Umoja-One Kenya Raila Odinga amemtaka Jaji Mkuu Martha Koome aachane na jitihada zake za kukutana...

Kuna mtu ataumia

NA WYCLIFFE NYABERI UHASAMA wa kisiasa baina ya Gavana wa Kisii Simba Arati na Kiranja wa Wengi bungeni Silvanus Osoro, unaozidi...