• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 3:25 PM

Mkono wa Rais Ruto ulivyomtoa Wamatangi vinywani mwa MCAs

NA SIMON CIURI NAIBU Rais Rigathi Gachagua, kwa mara ya pili katika muda wa chini ya miezi minane ameitisha mkutano na viongozi...

ODM yaanza kufuta nyayo za UDA Nyanza

NA GEORGE ODIWUOR CHAMA cha ODM kimeanza kuwakusanya wafuasi wake kukabili uvamizi wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) katika...

Spika wa Bunge la Siaya akanusha njama ya kumng’oa Gavana Orengo licha ya duru kusema madiwani 30 ‘wameshaamua’

NA KASSIM ADINASI SPIKA wa Bunge la Kaunti ya Siaya George Okode amekanusha kuwepo kwa njama yoyote ya kumbandua Gavana James...

Ni rasmi Sabina Chege amevuliwa wadhifa wa Naibu Kiranja wa Wachache

NA CHARLES WASONGA HATIMAYE Spika wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang’ula ameidhinisha uamuzi wa muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya wa...

Sakaja akodolea macho mikosi iliyomwandama Sonko

NA WINNIE ONYANDO LICHA ya wandani wa Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja kupata afueni, nyufa ndani ya United Democratic Alliance (UDA) na...

Mwangaza asubiri kikao cha bunge la kaunti kupata mwanga kuhusu masaibu yake

NA DAVID MUCHUI HUKU mikakati ya kumwondoa mamlakani Gavana Kawira Mwangaza wa Meru ikikaribia kutimia, kila upande unajikakamua...

Maskini Raila! Viongozi watoa sababu za kumhepa

NA RUSHDIE OUDIA WANASIASA ambao wamemwasi na kumtoroka kiongozi wa Azimio la Umoja, Bw Raila Odinga, wamejitokeza na kueleza sababu...

Bahati ‘Mtoto wa Mama’ kupambana na Sakaja ugavana Nairobi mwaka 2027

NA WINNIE ONYANDO MWANAMUZIKI Kevin Kioko almaarufu Bahati ametangaza kuwa atawania kiti cha ugavana katika Kaunti ya Nairobi mwaka...

Wito viongozi wa Mlima Kenya waungane kwa manufaa ya wenyeji na wakazi

NA LAWRENCE ONGARO VIONGOZI kutoka Mlima Kenya wameshauriwa kuungana pamoja na kuelekea njia moja. Mbunge wa Juja Bw George Koimburi...

Hatima ya Sabina Chege sasa iko mikononi mwa Spika Wetang’ula

NA RICHARD MUNGUTI MASAIBU yanayomkumba naibu kiranja wa wachache Bi Sabina Chege yamezidi kumkaba baada ya Mahakama ya Rufaa kukataa...

Wabunge wa Azimio kususia vikao hadi Sabina avuliwe wadhifa wa naibu kiranja wa wachache

NA CHARLES WASONGA WABUNGE wa upinzani sasa wametishia kuvuruga shughuli za bunge juma lijalo ikiwa hatua ya mrengo wa Azimio La Umoja-One...

Rais Ruto anaendeleza udikteta, mbunge Omar Mwinyi adai

NA CHARLES WASONGA MBUNGE wa Changamwe Omar Mwinyi ameibua madai kuwa Rais William Ruto anaelekea kuwa dikteta mbaya zaidi. Bw Mwinyi...