• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 10:08 PM

MAKALA MAALUM: Jinsi Ruto anavyopanga kuuzima umaarufu wa marehemu Moi

NA ERIC MATARA ALIYEKUWA Rais wa Kenya hayati Mzee Daniel Arap Moi alitawala kwa miaka 24 huku akionyesha ubabe, kwenye serikali yake na...

Wa Iria asisitiza yuko katika kinyang’anyiro cha urais

NA KENYA NEWS AGENCY GAVANA wa Murang’a, Mwangi wa Iria amesema hakuna kitakachomfanya aache azima yake ya kugombea urais kwenye...

Waliokosa kupata tiketi za Jubilee walia kuonewa

NA JURGEN NAMBEKA CHAMA cha Jubilee jana Jumanne kiliwatuza wagombeaji wa viti mbalimbali, vyeti vya kupeperusha bendera ya chama...

Pigo kwa Sossion akizama mchujoni

NA VITALIS KIMUTAI KATIBU mkuu wa zamani wa Chama cha Kitaifa cha Walimu nchini (KNUT) Bw Wilson Sossion amepokea pigo kuu kisiasa,...

Wingi wa washindani wa ugavana Vihiga wavurugia ANC hesabu

NA DERICK LUVEGA JUHUDI za chama cha Musalia Mudavadi, ANC, kunyakua kiti cha ugavana katika Kaunti ya Vihiga kwa mara ya kwanza tangu...

Sura Mpya Old Town kiti cha MCA yawapa wakazi matumaini

NA FARHIYA HUSSEIN BAADHI ya wakazi wa Old Town katika kaunti ya Mombasa, wameelezea matumaini yao kufuatia ushindi wa kiongozi mpya...

Mithika Linturi ateua mgombeaji mwenza

NA GITONGA MARETE SENETA wa Meru Mithika Linturi ameteua wakili mwanamke kuwa mgombea mwenza wake katika maandalizi ya kushindana na...

Bahati itaendea nani?

MWANGI MUIRURI Na BENSON MATHEKA SUALA la mgombea mwenza wa kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga katika Azimio la Umoja One Kenya...

Patrick ‘Jungle’ Wainaina kuwania ugavana kwa tiketi ya kujitegemea

NA LAWRENCE ONGARO MBUNGE wa Thika, Bw Patrick 'Jungle' Wainaina, amesema atawania kiti cha ugavana katika kaunti ya Kiambu akitumia...

PDP: Obado asalia mpweke wawaniaji wakikwepa chama

NA IAN BYRON GAVANA wa Migori Okoth Obado, anayekabiliwa na kashfa kadha, anajikuna kichwa kuhusu mwelekeo wa kisiasa anaofaa kuchukua,...

Muturi pabaya DP mivutano ikizidi

NA COLLINS OMULO VITA vya ubabe ndani ya chama cha Democratic Party of Kenya (DP), vimechukua mwelekeo mpya huku Spika wa Bunge la...

Mbunge ataka viongozi Pwani waunge PAA

NA MAUREEN ONGALA MBUNGE wa Magarini Bw Michael Kingi amewataka viongozi wa Pwani kuunga mkono chama cha pwani cha Pamoja African...