• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 6:50 AM

Mbogo adai Sonko ni ‘mpita njia’ tu

NA WINNIE ATIENO UTATA wa tikiti ya mwanasiasa atakayepeperusha bendera ya Wiper katika kura ya ugavana wa Mombasa unaendelea kutokota...

Atwoli abashiri Raila atabwaga Ruto debeni

NA SHABAN MAKOKHA KATIBU Mkuu wa Muungano wa Vyama vya Wafanyakazi nchini (COTU), Francis Atwoli amewataka wakazi wa Magharibi mwa Kenya...

Mikakati ya Uhuru ‘kukomboa’ Mlima

NA MWANGI MUIRURI RAIS Uhuru Kenyatta ameweka mikakati thabiti ‘chini ya maji’ kuhakikisha kwamba amelinasua eneo la Mlima Kenya...

Mwaura hatimaye akubali matokeo ya mchujo Ruiru

NA SIMON CIURI SENETA Maalum, Isaac Mwaura hatimaye amekubali matokeo ya uchaguzi wa mchujo wa chama cha UDA katika eneobunge la Ruiru,...

Achani ataka wapinzani wake kutoendeleza siasa za ukabila

NA SIAGO CECE NAIBU Gavana wa Kwale Fatuma Achani amewataka wapinzani wake kutoendeleza siasa za ukabila huku wakiwania kiti hicho cha...

Ragwa ahama UDA, kuwa mwaniaji huru kwa useneta

NA ALEX NJERU MWANIAJI wa Useneta Kaunti ya Tharaka-Nithi, Bw Samuel Ragwa (pichani) ambaye alipoteza kwenye mchujo wa UDA wiki jana,...

Kakaye Joho aongoza waliokosa tikiti kuhama UDA

NA WINNIE ATIENO KAKA wa Gavana wa Mombasa Hassan Joho, ambaye alikuwa akiwania kiti cha useneta katika Kaunti ya Mombasa kupitia chama...

Nassir amshukuru Shahbal kwa kumwachia nafasi ya ugavana

NA WINNIE ATIENO MWANIAJI wa ugavana wa Mombasa kwa tikiti ya ODM, Bw Abdulswamad Nassir amemshukuru mfanyabiashara Suleiman Shahbal kwa...

Washirika wa Ruto wadai Uhuru na Raila wamemsaliti Kalonzo

NA PIUS MAUNDU MWENYEKITI WA CHAMA cha United Democratic Alliance, Bw Johnson Muthama jana alisema kuwa umaarufu wa kiongozi wa Wiper eneo...

Wafuasi watishia kuhama UDA baada ya uteuzi wa ukora

NA WAANDISHI WETU CHAMA CHA UNITED Democratic Alliance (UDA) kitarudia uteuzi katika eneobunge la Moiben huku malalamishi yakiendelea kote...

Keter akubali kushindwa na limbukeni wa siasa

Na CHARLES WASONGA WAZIRI wa zamani wa Kawi Charles Keter amekubali kushindwa na Dkt Erick Mutai katika mkuja ya mchujo iliyofanyika mnamo...

Wanjigi adai Raila ni kivuli cha Uhuru

NA MAUREEN ONGALA MGOMBEA URAIS WA chama cha Safina, Jimmy Wanjigi, amemuonya Rais Uhuru Kenyatta dhidi ya kuingilia uchaguzi mkuu wa...