NA WINNIE ATIENO UTATA wa tikiti ya mwanasiasa atakayepeperusha bendera ya Wiper katika kura ya ugavana wa Mombasa unaendelea kutokota...
NA SHABAN MAKOKHA KATIBU Mkuu wa Muungano wa Vyama vya Wafanyakazi nchini (COTU), Francis Atwoli amewataka wakazi wa Magharibi mwa Kenya...
NA MWANGI MUIRURI RAIS Uhuru Kenyatta ameweka mikakati thabiti ‘chini ya maji’ kuhakikisha kwamba amelinasua eneo la Mlima Kenya...
NA SIMON CIURI SENETA Maalum, Isaac Mwaura hatimaye amekubali matokeo ya uchaguzi wa mchujo wa chama cha UDA katika eneobunge la Ruiru,...
NA SIAGO CECE NAIBU Gavana wa Kwale Fatuma Achani amewataka wapinzani wake kutoendeleza siasa za ukabila huku wakiwania kiti hicho cha...
NA ALEX NJERU MWANIAJI wa Useneta Kaunti ya Tharaka-Nithi, Bw Samuel Ragwa (pichani) ambaye alipoteza kwenye mchujo wa UDA wiki jana,...
NA WINNIE ATIENO KAKA wa Gavana wa Mombasa Hassan Joho, ambaye alikuwa akiwania kiti cha useneta katika Kaunti ya Mombasa kupitia chama...
NA WINNIE ATIENO MWANIAJI wa ugavana wa Mombasa kwa tikiti ya ODM, Bw Abdulswamad Nassir amemshukuru mfanyabiashara Suleiman Shahbal kwa...
NA PIUS MAUNDU MWENYEKITI WA CHAMA cha United Democratic Alliance, Bw Johnson Muthama jana alisema kuwa umaarufu wa kiongozi wa Wiper eneo...
NA WAANDISHI WETU CHAMA CHA UNITED Democratic Alliance (UDA) kitarudia uteuzi katika eneobunge la Moiben huku malalamishi yakiendelea kote...
Na CHARLES WASONGA WAZIRI wa zamani wa Kawi Charles Keter amekubali kushindwa na Dkt Erick Mutai katika mkuja ya mchujo iliyofanyika mnamo...
NA MAUREEN ONGALA MGOMBEA URAIS WA chama cha Safina, Jimmy Wanjigi, amemuonya Rais Uhuru Kenyatta dhidi ya kuingilia uchaguzi mkuu wa...