• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 6:50 AM

Raila atashinda urais kwa asilimia 60 – Peter Kenneth

NA MWANDISHI WETU MWANIAJI URAIS WA muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga, atashinda urais kwa kati ya asilimia 60 na 65...

Umaarufu wa UDA kwenye ngome kuu watiliwa shaka

WALTER MENYA NA ONYANGO K'ONYANGO MCHUJO wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) uliomalizika jana umetikisa Naibu Rais William Ruto...

Hatimaye Shahbal akubali kuunga Nassir ugavana

CECIL ODONGO NA IBRAHIM ORUKO CHAMA cha ODM jana kilionekana kuimarisha mikakati ya kuifungia UDA katika siasa za Mombasa baada ya...

Walioanguka mchujo UDA kutozwa hadi Sh200,000

NA MARY WANGARI WAGOMBEAJI wa United Democratic Alliance (UDA) wanaopinga matokeo ya kura za mchujo zilizofanyika Alhamisi, sasa...

Miamba wabwagwa mchujoni

NA WAANDISHI WETU WANASIASA wenye uzoefu mkubwa na washiriika wa Naibu Rais William Ruto ni miongoni mwa waliobwagwa katika kura za...

Wiper yaahirisha mchujo kuruhusu maelewano

Na PIUS MAUNDU HATUA ya kiongozi wa Wiper, Bw Kalonzo Musyoka, kubuni maelewano baina ya wawaniaji wanaowania nyadhifa mbalimbali kwa...

Mchujo: Joho akosoa msimamo wa Shahbal

Na WINNIE ATIENO GAVANA wa Mombasa Hassan Joho amewataka wanasiasa wanaowania tiketi ya ODM kukubali uamuzi wa chama kuteua...

Vilio, ngumi na hasira UDA ikiandaa mchujo

NA WANDISHI WETU UCHAGUZI wa mchujo wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) cha Naibu Rais William Ruto, jana ulikumbwa na...

Azimio waweka mikakati ya kumvumisha Raila magharibi

NA KENYA NEWS AGENCY VIONGOZI wa Azimio la Umoja, One Kenya kutoka Magharibi mwa Kenya, wanatarajiwa kumfanyia kampeni mgombeaji urais...

Wawaniaji walia hakuna demokrasia kwa mchujo

NA WANDISHI WETU SHUGHULI ya mchujo katika vyama vikubwa vya kisiasa imekumbwa na utata huku baadhi ya wawaniaji wakilia kuchezewa...

Anataka tu kura, hana haja na maslahi ya wananchi, Mbadi amkashifu Ruto

Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Wachache Bungeni John Mbadi amemshtumu Naibu Rais William Ruto kuwa kuwahadaa Wakenya kwamba anajali...

Mwaniaji awataka maajenti wa UDA wawe macho mchujoni

Na LAWRENCE ONGARO MAAJENTI zaidi ya 300 wa kulinda kura za mchujo za uteuzi wa ugavana Kiambu walipokea hamasisho jinsi ya kusimamia...