• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 1:22 PM

Sijajiondoa, nitawania tiketi ya UDA ugavana Kiambu – ‘Jungle’ Wainaina

Na LAWRENCE ONGARO MBUNGE wa Thika Bw Patrick 'Jungle' Wainaina amesema bado yupo kwenye kinyang'anyiro cha mchujo kwa tiketi ya...

Ni midume tupu katika muungano wa Ruto

BENSON MATHEKA Na JURGEN NAMBEKA NAIBU RAIS William Ruto jana alitia saini mkataba wa ushirikiano na vyama 12 chini ya Muungano wa Kenya...

Otuoma anyakua tikiti ya ODM kwa ugavana Busia

NA OKONG'O ODUYA ALIYEKUWA mbunge wa Funyula, Dkt Paul Otuoma atapeperusha bendera ya ODM kuwania kiti cha ugavana Busia, baada ya...

Mwashetani aahidi kukuza vipaji vya vijana wasanii

Na WINNIE ATIENO Mbunge wa Lunga Lunga Khatib Mwashetani (pichani), ameahidi kukuza vipaji vya vijana kupitia sanaa. Bw Mwashetani...

Wanasiasa sasa watumia mzozo wa mipaka kusaka kura

Na LUCY MKANYIKA HUKU wanasiasa wakijiandaa kwa uchaguzi mkuu wa Agosti, suala la mzozo wa mipaka baina ya Taita Taveta na majirani zake...

Ruto ashindwa kupatanisha wandani wake wanaong’ang’ania ugavana Kajiado

NA STANLEY NGOTHO NAIBU Rais William Ruto anaonekana kushindwa kuwapatanisha wawaniaji ugavana wa Kajiado Mbunge wa Kajiado Mashariki...

Utata Pwani Wiper ikimpa Sonko tikiti ya moja kwa moja

NA WINNIE ATIENO SIKU chache baada ya chama cha Wiper kumpa tikiti ya moja kwa moja Mbunge wa Kisauni Ali Mbogo anayegombea kiti cha...

Muthama amteua Prof Muli kuwa mwaniaji mwenza

NA KENYA NEWS AGENCY MWANIAJI wa ugavana wa Machakos kupitia tiketi ya chama cha United Democratic Alliance (UDA) Johnson Muthama,...

Ruto bado ni mchanga, amuunge mkono Raila, Waluke asema

NA BRIAN OJAMAA MBUNGE wa Sirisia, John Waluke, amemrai Naibu Rais William Ruto kuacha azma yake na urais na badala yake kumuunga mkono...

Jubilee njiapanda maelewano kati ya wawaniaji yakifeli

NA ALEX NJERU CHAMA cha Jubilee kinakabiliwa na hatari ya kupoteza wagombeaji katika kaunti ya Tharaka Nithi, baada ya mazungumzo ya...

Migawanyiko DP Muturi akijiunga na Ruto

DAVID MUCHUI MIGAWANYIKO imeibuka ndani ya chama cha Democratic Party (DP), baada ya baadhi ya wanachama, kupinga hatua ya Spika wa Bunge...

Raila ashikwa mateka

Na JUSTUS OCHIENG Mgombea urais wa Azimio la Umoja One Kenya, Bw Raila Odinga anakabiliwa na wakati mgumu kuwaridhisha washirika wake...