• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 10:08 PM

Sitaki kingine ila mchujo, Shahbal akaa ngumu ODM

NA ANTHONY KITIMO MFANYABIASHARA Suleiman Shahbal, amesisitiza hatakubali mbinu nyingine yoyote ya ODM kutoa tikiti ya uwaniaji ugavana...

Nina tajriba ya kufufua uchumi, Wanjigi asema

NA KENYA NEWS AGENCY MGOMBEA URAIS WA chama cha Safina, Jimmy Wanjigi amesema kuwa amehitimu vyema na ana tajriba ya kufufua uchumi wa...

Ugavana: Askofu Margaret Wanjiru sasa akubali Sakaja apeperushe bendera ya UDA Nairobi

NA CHARLES WASONGA ASKOFU Margaret Wanjiru amejiondoa kutoka kinyang’anyiro cha ugavana wa Nairobi kufuatia maelewano kati yake na...

Jimi Wanjigi amtaka Rais Kenyatta ajitetee kuhusu ‘kashfa’ ya Sh25.2 trilioni

NA MWANGI MUIRURI [email protected] MWANIAJI wa urais kwa tiketi ya chama cha Safina Bw Jimi Wanjigi, Jumamosi alimtaka...

Sipangwingwi: Washirika wa Ruto wakaidi NCIC

NA WINNIE ONYANDO WASHIRIKA wa Naibu Rais William Ruto wamekaidi serikali wakisema hawatakoma kutumia maneno yaliyopigwa marufuku na...

Rais apoteza washirika wake wakuu kwa Ruto

NA CECIL ODONGO RAIS Uhuru Kenyatta ameonekana kusalia mpweke katika eneo la Mlima Kenya baada ya waliokuwa washirika wake wakuu wa...

Ruto akaidi NCIC, atoa wimbo wa ‘Sipangwingwi’

NA WINNIE ONYANDO NAIBU wa Rais, William Ruto amekaidi amri ya Tume ya Uwiano na Utangamano wa Kitaifa (NCIC) baada ya kutoa wimbo ambao...

Mtego wa Raila katika Azimio

NA LEONARD ONYANGO VIONGOZI wa zaidi ya vyama 20 vilivyo katika Azimio la Umoja-One Kenya wamefungwa ndani ya muungano huo na...

Msisimko Mlima Kenya Spika Muturi akizungumza lugha ya mahasla

NA MWANGI MUIRURI [email protected] HATUA ya Spika wa bunge la kitaifa Justin Bedan Muturi ya kujiunga na mrengo wa...

Mvurya ampigia naibu wake debe

NA WINNIE ATIENO GAVANA wa Kwale Salim Mvurya amewasihi wakazi kumpigia kura naibu wake Bi Fatuma Achani akisema atamaliza miradi yote...

NCIC yapiga marufuku baadhi ya maneno na msamiati katika muktadha wa siasa

NA WINNIE ONYANDO TUME ya Uwiano na Utangamano wa Kitaifa (NCIC) Ijumaa ilitoa orodha ya maneo 23 ambayo yamepigwa marufuku katika hafla...

Mudavadi kuwa tu waziri katika serikali ya Ruto

NA ONYANGO K’ONYANGO KIONGOZI wa Amani National Congress (ANC), Bw Musalia Mudavadi, amepoteza nafasi ya kuwa mwaniaji mwenza wa Naibu...