• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 10:08 PM

Serikali yaagizwa kujibu kesi kuhusu usiri wa SGR

NA PHILIP MUYANGA MWANASHERIA Mkuu Kihara Kariuki, ameagizwa kujibu kesi ambapo wanaharakati wawili wanataka serikali iagizwe kutoa wazi...

Ujanja wa Ruto kuruka Mudavadi, Wetangula

NA CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto anaonekana kukwepa masharti magumu ya kuundwa kwa vyama vya miungano chini ya sheria mpya ya...

Baraza Kuu la ODM sasa laingilia kati mzozo kuhusu mchujo Kaunti ya Mombasa

NA SAMWEL OWINO BARAZA Kuu la Chama cha ODM limeingilia kati mzozo kuhusu mbinu ya kuchagua wagombeaji wa viti mbalimbali katika Kaunti...

Migawanyiko yatokea katika mrengo wa Azimio magharibi mwa Kenya

SHABAN MAKOKHA Na CHARLES WASONGA MIGAWANYIKO inashuhudiwa ndani ya muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya katika eneo la Magharibi baada...

Mchujo: Shahbal, Nassir walumbania tiketi ODM

NA WAANDISHI WETU MZOZO umeibuka kati ya mfanyabiashara, Bw Suleiman Shahbal, na Mbunge wa Mvita, Bw Abdulswamad Nassir, kuhusu tikiti...

Mbogo awasuta wapinzani wake Mombasa

NA WINNIE ATIENO MBUNGE wa Kisauni, Bw Ali Mbogo, amewasuta wapinzani wake kwenye kinyang’anyiro cha ugavana Kaunti ya Mombasa,...

Kidero aahidi kuonyesha ODM kivumbi akisaka ugavana Homa Bay

NA GEORGE ODIWUOR ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi Dkt Evans Kidero wikendi alianzisha rasmi kampeni za kusaka kiti cha ugavana wa Kaunti ya...

Uhuru asema hatageuza msimamo kuhusu Raila

COLLINS OMULO Na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta amepuuza wanaomtusi kwa kumuunga kiongozi wa ODM, Raila Odinga kuwa mrithi wake,...

Uteuzi Ukambani sasa wamnyima Kalonzo usingizi

NA PIUS MAUNDU KINARA wa Wiper Kalonzo Musyoka anajikuna kichwa, siku 10 tu kabla ya chama hicho kuandaa uteuzi wake, huku wandani wake...

Mtihani mgumu kwa Orengo akilenga ugavana Siaya

NA CHARLES WASONGA CHAMA cha ODM chake mgombeaji urais wa Azimio la Umoja Raila Odinga kinakabiliwa na kibarua kikubwa katika...

Kufeli kwa BBI pigo kwa Raila na Ruto

NA CHARLES WASONGA AILA KUZIMWA kwa mchakato wa marekebisho ya Katiba kupitia mpango wa maridhiano (BBI) kumeonekana kuvuruga zaidi mpango...

BBI sasa ni mjeledi wa Ruto kutandika Azimio

NA WANDERI KAMAU BAADA ya majaji wa Mahakama ya Juu kufutilia mbali Mswada wa Kurekebisha Katiba (BBI), Ijumaa, mswada huo sasa unaonekana...