NA PHILIP MUYANGA MWANASHERIA Mkuu Kihara Kariuki, ameagizwa kujibu kesi ambapo wanaharakati wawili wanataka serikali iagizwe kutoa wazi...
NA CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto anaonekana kukwepa masharti magumu ya kuundwa kwa vyama vya miungano chini ya sheria mpya ya...
NA SAMWEL OWINO BARAZA Kuu la Chama cha ODM limeingilia kati mzozo kuhusu mbinu ya kuchagua wagombeaji wa viti mbalimbali katika Kaunti...
SHABAN MAKOKHA Na CHARLES WASONGA MIGAWANYIKO inashuhudiwa ndani ya muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya katika eneo la Magharibi baada...
NA WAANDISHI WETU MZOZO umeibuka kati ya mfanyabiashara, Bw Suleiman Shahbal, na Mbunge wa Mvita, Bw Abdulswamad Nassir, kuhusu tikiti...
NA WINNIE ATIENO MBUNGE wa Kisauni, Bw Ali Mbogo, amewasuta wapinzani wake kwenye kinyang’anyiro cha ugavana Kaunti ya Mombasa,...
NA GEORGE ODIWUOR ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi Dkt Evans Kidero wikendi alianzisha rasmi kampeni za kusaka kiti cha ugavana wa Kaunti ya...
COLLINS OMULO Na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta amepuuza wanaomtusi kwa kumuunga kiongozi wa ODM, Raila Odinga kuwa mrithi wake,...
NA PIUS MAUNDU KINARA wa Wiper Kalonzo Musyoka anajikuna kichwa, siku 10 tu kabla ya chama hicho kuandaa uteuzi wake, huku wandani wake...
NA CHARLES WASONGA CHAMA cha ODM chake mgombeaji urais wa Azimio la Umoja Raila Odinga kinakabiliwa na kibarua kikubwa katika...
NA CHARLES WASONGA AILA KUZIMWA kwa mchakato wa marekebisho ya Katiba kupitia mpango wa maridhiano (BBI) kumeonekana kuvuruga zaidi mpango...
NA WANDERI KAMAU BAADA ya majaji wa Mahakama ya Juu kufutilia mbali Mswada wa Kurekebisha Katiba (BBI), Ijumaa, mswada huo sasa unaonekana...