• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 10:08 PM

ODM yaahirisha uteuzi wawaniaji wakitishia kuhama

NA WAANDISHI WETU CHAMA cha ODM sasa kimelazimika kuahirisha uteuzi katika baadhi ya kaunti kufuatia malalamishi na vitisho kutoka kwa...

Karua aanza kumpigia debe Raila Kirinyaga

NA GEORGE MUNENE KIONGOZI wa Narc Kenya, Martha Karua amezindua kampeni za Azimio One Kenya Alliance katika Kaunti ya Kirinyaga na kuapa...

Raila: Niliponea shambulio la helikopta

CHARLES WASONGA NA TITUS OMINDE NA ONYANGO K'ONYANGO TASWIRA kamili ya tukio ambapo helikopta iliyombeba kiongozi wa ODM, Raila Odinga na...

Kalonzo apanga UhuRaila

ELVIS ONDIEKI na LEONARD ONYANGO KINARA wa Wiper, Kalonzo Musyoka amefanikiwa kuwashinikiza Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM,...

Ruto aahidi wakazi wa Lamu vinono punde akiwa rais

NA KALUME KAZUNGU NAIBU wa Rais, Dkt William Ruto amesema jukumu lake la kwanza atakapochaguliwa rais hapo Agosti mwaka huu ni...

Kinyanjui akunja chama cha Ubuntu, ajiunga na Jubilee

Na ERIC MATARA SASA ni dhahiri kuwa kivumbi kikali cha ugavana wa Kaunti ya Nakuru sasa kitakuwa kati ya Gavana wa sasa Lee Kinyanjui wa...

Wawaniaji roho mkononi mchujo wa ODM ukianza

CHARLES WASONGA na KENYA NEWS AGENCY CHAMA cha ODM kinaanza kura ya mchujo Ijumaa huku hofu ikiwa imetanda miongoni mwa wawaniaji...

Mpango wa ODM kumpa Ong’era tikiti wazua utata

NA WYCLIFFE NYABERI Hisia mseto zimeibuka miongoni mwa wafuasi wa chama cha ODM katika Kaunti ya Kisii, kuhusu ni nani anayefaa...

Mvutano wa Sossion, KNUT waelekezwa kwa uteuzi wa UDA Bomet

NA VITALIS KIMUTAI MVUTANO unaoendelea kati ya mbunge maalum wa Orange Democratic Movement (ODM), Wilson Sossion na maafisa wa Chama cha...

Ruto aghairi kubuni kituo kuhesabu kura

NA ONYANGO K’ONYANGO NAIBU Rais William Ruto ameacha mpango wake wa awali wa kubuni kituo sambamba cha kuhesabia kura ili kulinganisha...

Murang’a yaibuka kitovu cha siasa Mlima Kenya

NA MWANGI MUIRURI KAUNTI ya Murang’a imeibuka kuwa miongoni mwa ile inayovutia ubabe mkubwa wa kisiasa baina ya Naibu Rais Dkt William...

Washirika wa Uhuru wanamkwepa Raila?

Na BENSON MATHEKA MASWALI yameibuka kuhusu hali ya kampeni za Azimio La Umoja huku washirika wa Rais Uhuru Kenyatta hasa kutoka eneo la...