• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 7:53 PM

Joto kali Azimio, Kenya Kwanza wakimenyana Magharibi

NA BRIAN OJAMAA HUKU ikiwa imesalia miezi minne uchaguzi mkuu ufanyike, pambano kali la kisiasa linaendelea kujitokeza kati ya mirengo...

Ruto alia anafinywa na serikali

ONYANGO K’ONYANGO Na BENSON MATHEKA NAIBU Rais Dkt William Ruto amelalamikia kile ambacho anadai ni afisi yake kunyimwa pesa kutoka...

Kanu yasema naibu wa Raila si lazima atoke Mlimani

NA ONYANGO K’ONYANGO CHAMA cha KANU sasa kimejitosa katika mjadala kuhusu uteuzi wa mgombea mwenza wa mwaniaji urais kwa tikiti ya...

WALIOBOBEA: John Koech: Waziri jasiri aliyekuwa na msimamo thabiti

KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK KATIKA eneobunge la Chepalungu, ambako John Kipsang Koech alikuwa mbunge kwa muda mrefu zaidi kati ya 1979...

Raila aidhinisha Fernandes Barasa awe mrithi wa Oparanya Kakamega

NA CHARLES WASONGA NI bayana kuwa chama cha Orange Democratic Movement (ODM) hakitaandaa mchujo wa ugavana katika kaunti ya...

Mwaniaji urais sasa ahamia ELP kutoka Ford Asili

NA WINNIE ONYANDO MFANYABISHARA Grita Muthoni, amejiondoa katika chama cha Ford Asili na kujiunga na chama cha Empowerment and...

Namsubiri naibu wangu debeni – Lonyangapuo

NA OSCAR KAKAI GAVANA wa kaunti ya Pokot Magharibi John Lonyangapuo amesema kuwa yuko tayari kukabiliana na naibu wake Dkt Nicholas...

Jubilee yageuka sumaku kwa wanaolenga ubunge

CHARLES WASONGA na LEONARD ONYANGO CHAMA cha Jubilee kimeongoza kwa kuvuna idadi kubwa ya wanasiasa ndani ya wiki moja iliyopita huku...

Mgombea udiwani wadi ya Kiuu ajipambanua kama kiongozi wa kutatua changamoto za vijana

NA SAMMY WAWERU MGOMBEA wa kiti cha udiwani (MCA) wadi ya Kiuu, Githurai, eneo la Ruiru, Kaunti ya Kiambu Bw Oliver Njenga amesisitiza...

Kuria aagizwa kufika mbele ya kamati ya IEBC

NA CHARLES WASONGA TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imemwamuru Mbunge wa Gatundu Kusini Moses Kuria kufika mbele yake ili afafanue...

ODM yakwepa mchujo kaunti ishirini na sita

NA LEONARD ONYANGO CHAMA cha ODM hakitafanya kura za mchujo katika Kaunti 26 – ishara kwamba huenda kikawapa tiketi za moja kwa moja...

Ida Odinga awataka Wakenya waishi bila kurushiana cheche

NA MWANGI MUIRURI MKE wa kiongozi wa Orange Democratic Movement (ODM) Raila Odinga, Mama Ida Odinga, Ijumaa amewataka Wakenya wajumuike...