• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 7:53 PM

Tisa kumteua mmoja awakabili Raila, Ruto

NA WINNIE ONYANDO WATU tisa ambao wamejitokeza kutaka kuwania urais mwaka huu 2022, wanapanga kumteua mmoja wao kumenyana na Raila...

Mbunge wa Kesses hatarini kuangushwa na bodaboda

NA FRED KIBOR MASHINDANO ya kisiasa nchini yanaamika kuwa mchezo ghali unaochezwa na matajiri pekee, watu wenye fedha na wanaoendesha...

Achani aponda wapinzani kuhusu maendeleo Kwale

NA KNA NAIBU Gavana wa Kwale, Bi Fatuma Achani, ametoa changamoto kwa wapinzani wake katika kinyang’anyiro cha ugavana, waeleze...

Presha kwa Raila

NA LEONARD ONYANGO UCHAGUZI Siku moja baada ya kinara wa Narc-K, Martha Karua kumeza chambo cha mwaniaji urais kwa tikiti ya Azimio...

Muriithi apinga kuvunjwa kwa vyama vidogo Mlima Kenya

Na GITONGA MARETE GAVANA wa Laikipia Ndiritu Muriithi ametofautiana na mbunge wa Kieni , Kanini Kega kuhusu pendekezo la Bw Kega kuwa...

Karua aingia boksi

NA CHARLES WASONGA BAADA ya kipindi kirefu cha kutojulikana mrengo anaouegemea, hatimaye Kiongozi wa Narc Kenya, Martha Karua amejiunga...

Ni tikiti ya Shahbal, Maitha ugavana wa Mombasa

NA VALENTINE OBARA MFANYABIASHARA Suleiman Shahbal, leo Alhamisi anatarajiwa kumtangaza rasmi Bi Selina Maitha Lewa, dadaye mbunge wa...

Khalwale ampisha Malala kwa ugavana Kakamega

NA CHARLES WASONGA ALIYEKUWA Seneta wa Kakamega Dkt Boni Khalwale amejiondoa kutoka kinyang'anyiro cha ugavana katika kaunti...

PAA yakoroga urithi wa Gavana Joho Mombasa

WINNIE ATIENO NA ANTHONY KITIMO KINYANG’ANYIRO cha kurithi kiti cha Gavana wa Mombasa, Bw Hassan Joho, kimechukua mkondo mpya baada ya...

Jubilee sasa yashinikiza vyama vidogo vikunjwe

NA ONYANGO K’ONYANGO CHAMA cha Jubilee sasa kimeanza mchakato wa kushawishi wandani wa Rais Uhuru Kenyatta waliokuwa wameunda vyama...

Kwa nini Ruto aogopa Uhuru

NA LEONARD ONYANGO NAIBU Rais Dkt William Ruto anaonekana kubadili mbinu yake ya kuwinda kura katika eneo la Mlima Kenya na sasa...

Ida aahidi kuinua maisha ya wanawake vijijini Raila akiwa rais

NA STANLEY NGOTHO MKEWE kinara wa ODM Raila Odinga, Ida, ameahidi kuboresha elimu na kuinua maisha ya wanawake wa vijijini iwapo...