• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 6:55 PM

Khaniri awarai Waluhya wamuunge mkono Raila

NA DERICK LUVEGA SENETA wa Vihiga George Khaniri ameiomba jamii ya Waluhya imuunge mkono kwa mara nyingine Kinara wa ODM Raila Odinga...

Pigo kwa Ruto Jubilee ikifufuka Mlima Kenya

GITONGA MARETE Na ALEX NJERU VUGUVUGU la Azimio la Umoja linaloongozwa na kiongozi wa ODM Raila Odinga limeanza kupata uungwaji mkono...

Wamunyinyi taabani vigogo wakilenga kumbandua Agosti

NA BRIAN OJAMAA MBUNGE wa Kanduyi, Wafula Wamunyinyi, anakabiliwa na kibarua kigumu, baada ya wanasiasa wawili kujiunga na...

Mhadhiri atoa jasho Keter kinyang’anyiro cha ugavana Kericho

NA DAVID MWERE MHADHIRI wa Chuo Kikuu Dkt Erick Kipkoech Mutai mwenye umri wa miaka 38, anatoa changamoto kuu kwa wanasiasa wenye uzoefu...

Hatukudhamini utafiti wa Infotrak kwa nia mbaya, Haki Africa yajitetea

NA CHARLES WASONGA SHIRIKA la kutetea haki za binadamu, Haki Africa, limejitetea dhidi ya madai kuwa lilidhamini kura ya maoni kuhusu...

Boga aomba ODM tiketi bila mchujo

NA SIAGO CECE ALIYEKUWA Katibu wa Wizara ya Kilimo, Prof Hamadi Boga, ameomba Chama cha ODM kimpe tiketi ya moja kwa moja kuwania...

Asha Hussein aimarisha kampeni zake kutetea kiti chake Mombasa

NA FARHIYA HUSSEIN MBUNGE Mwakilishi wa Kike wa Kaunti ya Mombasa, Bi Asha Hussein ameimarisha kampeni zake huku akifanya mkutano na...

Wanga alia yumo hatarini mchujo ukikaribia

NA GEORGE ODIWUOR MWAKILISHI wa Kike katika Kaunti ya Homa Bay, Bi Gladys Wanga, ameiomba Wizara ya Usalama wa Ndani kumpa ulinzi zaidi,...

Siasa zazima uwezo wa serikali kuweka sheria

NA MWANGI MUIRURI SIASA za Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9 zimelemaza uwezo wa Serikali kuchukua hatua dhidi ya wavunjaji sheria. Wataalamu...

Masuala ya SGR, ardhi kuendelea kushamiri katika kampeni

NA VALENTINE OBARA MZOZO kuhusu usafirishaji mizigo kwa reli ya SGR, na mizozo ya tangu jadi kuhusu umiliki wa mashamba, inatarajiwa...

Nassir ana nafasi nzuri kumrithi Joho, utafiti waonyesha

NA WINNIE ATIENO MBUNGE wa Mvita, Bw Abdulswamad Nassir, ana nafasi bora kurithi kiti cha Gavana wa Mombasa, Bw Hassan Joho, katika...

Wanawake 4 wajitokeza kumenyania ubunge Kaunti ya Laikipia

NA STEVE NJUGUNA MAENEOBUNGE yote matatu katika Kaunti ya Laikipia huenda yakawakilishwa na wanawake kwa mara ya kwanza tangu uhuru...