• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 10:08 PM

Kibicho aendeleza siasa, akanusha kutumia mabavu dhidi ya UDA

NA GEORGE MUNENE KATIBU katika Wizara ya Usalama, Karanja Kibicho amekana madai kuwa anawatisha wawaniaji wa viti mbalimbali kwa tiketi...

Raila: Washirika wa Kalonzo sasa walegeza kamba

NA PIUS MAUNDU WASHIRIKA wenye msimamo mkali wa kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka, sasa wamelegeza msimamo wao na kukubali amuunge...

Jubilee yazidi kuvuna Mlimani

NA WAANDISHI WETU CHAMA cha Jubilee kinaendelea kujiimarisha kwa kunasa wawaniaji kutoka vyama vinavyounga muungano wa Azimio La Umoja...

Kadu-Asili yapata pigo kiongozi wake akihamia PAA

NA MAUREEN ONGALA KIONGOZI wa Kadu-Asili Gerald Thoya amekihama chama hicho na kujiunga na kile cha Pamoja African Alliance (PAA)...

Uhuru amtuliza Kalonzo

Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka Ijumaa jioni alitembelewa na Rais Uhuru Kenyatta nyumbani kwake Karen,...

Kioni: Mlima Kenya hauungi mkono Raila kwa masharti

SAMUEL OWINO NA CHARLES WASONGA KATIBU Mkuu wa Jubilee Jeremiah Kioni amesema kuwa eneo la Mlima Kenya linamuunga mkono kiongozi wa ODM...

Visiki katika safari ya Ruto kuelekea Ikulu

NA MWANGI MUIRURI NAIBU Rais William Ruto sasa anakabiliwa na kibarua kigumu cha kuteua mwaniaji mwenza, kuimarisha uhusiano na vyama...

Jubilee yamteua Ngatia kupambana na Wanyonyi ugavana Nairobi

NA WINNIE ONYANDO KINYANG’ANYIRO cha kiti cha ugavana jijini Nairobi huenda ikaongeza uhasama kati ya chama cha Jubilee na ODM. Hii ni...

Waluke aruka Ruto, aingia Jubilee

NA CECIL ODONGO CHAMA cha Jubilee kinaendelea kushuhudia ufufuo mkubwa na jana kilivuna baada ya mbunge wa Sirisia John Waluke ambaye...

Kalonzo atoa masharti mapya kusalia Azimio

NA PIUS MAUNDU WIKI moja baada ya Kalonzo Musyoka kuunga mkono azma ya urais ya kiongozi wa ODM Raila Odinga,kinara huyo wa Wiper...

Jamleck Kamau kupeperusha bendera ya Jubilee ugavana Murang’a

NA GATUNI WACHIRA CHAMA cha Jubilee kimempa mwaniaji wa ugavana katika Kaunti ya Murang’a Jamleck Kamau tiketi ya moja kwa moja. Hii...

Kutumia utafiti kutoa tiketi kwaibua migawanyiko UDA

NA ONYANGO K'ONYANGO MVUTANO umeibuka ndani ya chama cha United Democratic Alliance (UDA) chake Naibu wa Rais William Ruto, kuhusu...