Tag: FAUSTINE NGILA
- by adminleo
- September 19th, 2019
NGILA: Dunia isipodhibiti teknolojia za #Deepfake, itaangamia
Na FAUSTINE NGILA Wakati afisa mkuu mtendaji wa kampuni za Amerika, Tesla na Space X, Bw Elon Musk (pichani) alipotoa hotuba kuhusu haja...
- by adminleo
- September 1st, 2019
NGILA: Tuwape watoto fikra za kutatua changamoto maishani
NA FAUSTINE NGILA WIKI iliyopita wanafunzi wa elimu ya msingi na sekondari wenye umri wa kati ya miaka minane na 17 katika Kaunti ya...
- by adminleo
- August 6th, 2019
NGILA: Ukoloni wa data waja Afrika tusipochukua hatua
Na FAUSTINE NGILA KATIKA Biblia Takatifu, (Mathayo 2:1-12) , Yesu alipozaliwa katika Bethlehemu ya Uyahudi zamani za Mfalme Herode,...
- by adminleo
- July 23rd, 2019
NGILA: Tunahitaji suluhu tosha kwa sekta ya nyama nchini
NA FAUSTINE NGILA JUMA lililopita nilihudhuria kongamano la Siku ya Ubunifu mtaani Westlands, Nairobi lililoandaliwa na kampuni ya...
- by adminleo
- July 23rd, 2019
NGILA: Kongole Microsoft kufadhili vipusa kuboresha kilimo nchini
Na FAUSTINE NGILA TANGAZO la kampuni ya teknolojia ya Microsoft wiki iliyopita kuwa itafadhili kampuni ibuka ya humu nchini...
- by adminleo
- June 28th, 2019
NGILA: Ushirikiano kueneza elimu ya dijitali nchini upigwe jeki
NA FAUSTINE NGILA USHIRIKIANO baina ya Shirika la Umoja wa Mataifa kuhusu Watoto (UNICEF), kampuni ya teknolojia ya Nokia na Wizara ya...
- by adminleo
- February 27th, 2019
NGILA: Teknolojia isiyoenea itazidi kulemaza uzalishaji mali
Na FAUSTINE NGILA ITHIBATI ya maendeleo ya kiteknolojia nchini Kenya tayari ipo. Binafsi, nimeshuhudia teknolojia ya juu katika...
- by adminleo
- February 6th, 2019
NGILA: Juhudi ziongezwe kuzima ukeketaji wa siri
NA FAUSTINE NGILA FEBRUARI 6 kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya Uhamasisho kuhusu Ukeketeji ambapo Umoja wa Mataifa huhimiza jamii zote...
- by adminleo
- January 23rd, 2019
NGILA: Sheria ya utambulisho wa DNA itasaidia kuzima uhalifu
NA FAUSTINE NGILA SHERIA mpya kuhusu Usajili wa Watu iliyorekebishwa na kutiwa saini na Rais Uhuru Kenyatta kuruhusu serikali kuchukua...
- by adminleo
- December 11th, 2018
NGILA: Wazo la Silicon Savannah ya Nairobi lifufuliwe
Na FAUSTINE NGILA KWA mara nyingine tena, Kenya imetambuliwa barani Afrika kwa uvumbuzi wa programu ya simu ambayo imeiletea dunia...
- by adminleo
- October 16th, 2018
NGILA: Pesa zilizoibwa na kufichwa ughaibuni zirejeshwe na serikali
NA FAUSTINE NGILA RIPOTI ya Shirika la Kitaifa kuhusu Utafiti wa Uchumi kutoka Amerika iliyotolewa juma lililopita kuwa Kenya ni ya pili...
- by adminleo
- October 9th, 2018
NGILA: Afrika ipakie taarifa zake mitandaoni kukabili ukoloni wa kiakili
NA FAUSTINE NGILA MSOMI wa masuala ya mawasiliano Nancy Fraser katika nadharia yake kuhusu uundaji wa dhana za fikra alikusudia kuelezea...