Tag: noti
- by adminleo
- June 9th, 2019
JAMVI: Kuondolewa kwa noti ya Sh1,000 pigo kwa kampeni za 2022
Na LEONARD ONYANGO HATUA ya Benki Kuu ya Kenya (CBK) kuzindiua noti mpya na kubatilisha matumizi ya noti ya sasa ya Sh1,000 kuanzia...
- by adminleo
- June 7th, 2019
Ruto apokezwa noti mpya
Na CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto amepokea rasmi noti mpya iliyozinduliwa na Benki Kuu ya Kenya (CBK) katika hafla iliyoongozwa...
- by adminleo
- June 6th, 2019
TAHARIRI: Sheria kali kuhusu noti mpya zikazwe
NA MHARIRI Hatua ya serikali kutangaza siku ya kuharamisha noti ya sasa ya Sh1,000 ni ya kupendeza ila ina walakini moja. Muda...
- by adminleo
- June 6th, 2019
Njoroge kuendelea kuwa gavana wa Benki Kuu ya Kenya
Na WANDERI KAMAU RAIS Uhuru Kenyatta amemteua Gavana wa Benki Kuu ya Kenya, Dkt Patrick Njoroge, kuhudumu kwa kipindi kingine cha miaka...
- by adminleo
- June 6th, 2019
Serikali yaonya wanaokataa noti ya sasa ya Sh1000
Na LEONARD ONYANGO SERIKALI Alhamisi imeonya wamiliki wa nyumba wanaohangaisha wapangaji kwa kuwataka wasilipe kodi ya nyumba kwa...
- by adminleo
- June 5th, 2019
Kesi ya kupinga noti mpya yapelekwa kwa Maraga
Na RICHARD MUNGUTI KESI ya kupinga kuzinduliwa kwa noti mpya iliyowasilishwa na mwanaharakati Okiya Omtatah imepelekwa kwa Jaji Mkuu...
- by adminleo
- June 4th, 2019
Polisi kuchunguza zaidi dereva aliyenaswa na Sh1m akielekea Ethiopia
Na WAWERU WAIRIMU MAHAKAMA ya Isiolo imewapa polisi wiki moja kumaliza uchunguzi katika kesi ambapo dereva mmoja wa Serikali ya Kaunti...
- by adminleo
- June 4th, 2019
Pesa nilizoweka kwa nyumba nitanunua ‘mathwiti na makeki’- Kuria
Na PETER MBURU MBUNGE wa Gatundu Kusini Moses Kuria sasa ameanza kuwakejeli watu anaosema walikuwa wamehifadhi mabunda ya pesa nyumbani...
- by adminleo
- June 3rd, 2019
Pendekezo wanaochanga zaidi ya Sh100,000 waripoti kwa EACC
Na SAMWEL OWINO WATUMISHI wote wa umma wanaochanga zaidi ya Sh100,000 katika harambee watahitajika kutoa ripoti zao za ulipaji ushuru...
- by adminleo
- June 3rd, 2019
Sura ya Mzee Kenyatta yazua utata wa noti mpya
CECIL ODONGO na RICHARD MUNGUTI UTUMIZI wa noti mpya zilizozinduliwa Jumamosi na Benki Kuu ya Kenya (CBK) umeendelea kupingwa na...
- by adminleo
- June 3rd, 2019
ODM wapinga noti mpya
RUTH MBULA na MARY WAMBUI VIONGOZI wakuu wa Chama cha ODM, wamepinga noti mpya zilizozinduliwa na Benki Kuu ya Kenya mnamo Jumamosi, na...
- by adminleo
- June 2nd, 2019
Mabunda ya Sh1m yapatikana kwa buti ya gari la kaunti mpakani
NA MWANDISHI WETU POLISI Jumapili wamenasa dereva wa Kaunti ya Samburu akisafirisha mabunda ya fedha, siku moja baada ya Gavana wa Benki...