Tag: raila odinga
- by T L
- March 25th, 2022
Presha kwa Raila
NA LEONARD ONYANGO UCHAGUZI Siku moja baada ya kinara wa Narc-K, Martha Karua kumeza chambo cha mwaniaji urais kwa tikiti ya Azimio...
- by T L
- March 15th, 2022
Raila atua Uingereza kuosha tope la Ruto
NA BENSON MATHEKA KIONGOZI wa chama cha ODM na mgombea urais wa muungano wa Azimio La Umoja Raila Odinga, anazuru Uingereza katika ziara...
- by T L
- February 21st, 2022
Vita vya magavana, Kalonzo pigo kwa Raila Ukambani
Na PIUS MAUNDU VITA vya ubabe vinavyoendelea kati ya magavana watatu wa eneo la Ukambani kwa upande mmoja na viongozi wa Wiper kwa...
- by T L
- February 2nd, 2022
Historia yawafaa Ruto, Raila 50:50
Na CHARLES WASONGA HISTORIA ya kinyanga’anyiro cha urais nchini inaonyesha ushindi wa Agosti 9 unaweza kwenda upande wowote kati ya...
- by T L
- January 30th, 2022
Raila na Ruto wararuana vikali Mlimani
Na WAANDISHI WETU NAIBU Rais William Ruto na kiongozi wa ODM Raila Odinga jana walivamia eneo la Mlima Kenya kusaka kura za urais huku...
- by T L
- January 29th, 2022
Raila kupokea wabunge wa ANC Murang’a
Na LEONARD ONYANGO KINARA wa Azimio la Umoja Raila Odinga leo Jumamosi anatarajiwa kutumia mkutano wake uwanjani Ihura, Kaunti ya...
- by T L
- January 27th, 2022
Vijana waapa kuunga Raila
Na KENYA NEWS AGENCY ZAIDI ya vijana 2,000 kutoka maeneobunge yote ya Kaunti ya Nyamira wamejitokeza na kusema kuwa wataunga mkono azma...
- by T L
- January 16th, 2022
Raila adai Ruto alichangia kufeli kwa Jubilee
Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga amemlaumu Naibu Rais William Ruto kutokana na kufeli kwa serikali ya Jubilee katika...
- by T L
- January 15th, 2022
Raila awahimiza Wakenya washirikiane bila kujali kabila, rangi
Na WANGU KANURI KIONGOZI wa Azimio la Umoja, Raila Odinga amewaahidi wafuasi wake waliokongamana katika uwanja wa Chuo Kikuu cha Mount...
- by T L
- January 10th, 2022
Raila ayakashifu matamshi ya Linturi
JUSTUS OCHIENG' na SIMON CIURI KINARA wa ODM Raila Odinga jana Jumapili aliwaonya wanasiasa dhidi ya kutoa matamshi ya kichochezi...
- by T L
- December 27th, 2021
Wahubiri wahimiza kampeni za heshima
Na JUMA NAMLOLA NAIBU Rais William Ruto na kinara wa ODM Raila Odinga, wameonywa dhidi ya kutumia kampeni zao za kusaka kura kuzua...
- by T L
- December 19th, 2021
Kiini cha Raila kuogopa kuitwa ‘mradi’ wa Uhuru
Na LEONARD ONYANGO KINARA wa ODM Raila Odinga anakabiliwa na kibarua kigumu kujitenga na madai kwamba yeye ni ‘mradi’ wa Rais Uhuru...