Tag: trump
- by adminleo
- July 20th, 2020
Trump aashiria kutong’atuka akishindwa uchaguzini ujao
Na MASHIRIKA RAIS Donald Trump wa Amerika amedokeza kwamba hana mpango wa kung’atuka mamlakani baada ya uchaguzi wa urais unaotarajiwa...
- by adminleo
- July 5th, 2020
Mwanawe Trump apatikana na corona
AFP na FAUSTINE NGILA Mpenziwe mwanawe Rais wa Marekani Donald Trump amethibitisha kuwa na virusi vya corona, vimeripoti vyombo vya...
- by adminleo
- January 13th, 2020
Trump aonya Iran dhidi ya kuua waandamanaji
NA AFP RAIS wa Donald Trump wa Marekani ameionya Iran dhidi ya kuwaua waandamanaji wanaolaani kuangushwa kimakosa kwa ndege ya Ukraine...
- by adminleo
- December 19th, 2019
Amerika yapitisha kura kumng’oa Trump mamlakani
NA AFP WASHINGTON, Amerika BUNGE la Congress nchini Amerika Jumatano lilipitisha kura ya kumwondoa mamlakani Rais Donald Trump kwa...
- by adminleo
- November 7th, 2019
Trump kupatanisha Misri, Ethiopia kuhusu mto Nile
NA AFP MAWAZIRI kutoka Misri, Ethiopia na Sudan jana walikutana jijini Washington DC kujaribu kutatua mzozo kuhusu ujenzi wa bwawa ndani...
- by adminleo
- September 10th, 2019
Trump ampiga kalamu mshauri wa masuala ya usalama
CHARLES WASONGA na AFP RAIS wa Amerika Donald Trump amemfuta kazi mshauri wake kuhusu masuala ya Usalama wa Kitaifa John Bolton. Rais...
- by adminleo
- September 3rd, 2019
Ruto anavyomuiga Trump kukabili mahasidi Twitter
Na JEREMIAH KIPLANG’AT NAIBU Rais William Ruto ameonekana kukumbatia mtandao wa Twitter katika siku za hivi karibuni kila anapotaka...
- by adminleo
- August 16th, 2019
Hamna jingine bali kunichagua mimi, Trump ajipiga kifua
Na MASHIRIKA na MARY WANGARI mwnyambura@ke.nationmedia.com RAIS Donald Trump amegonga vichwa vya vyombo vya habari baada ya...
- by adminleo
- August 4th, 2019
Wito wa kumng’oa Trump wapata nguvu bungeni Amerika
NA MASHIRIKA WITO kutaka Rais Donald Trump abanduliwe mamlakani umezidi kupata umaarufu bungeni, baada ya wanachama zaidi wa Democrats...
- by adminleo
- March 12th, 2019
Hatuhitaji marubani tena – Trump
Na WAANDISHI WETU RAIS wa Amerika Donald Trump, ametilia shaka uwezo wa marubani kuendesha ndege za kisasa. Akizungumza siku mbili...
- by adminleo
- February 25th, 2019
Trump ataka teknolojia ya 6G hata kabla ya kuonja 5G
MASHIRIKA Na PETER MBURU WASHINGTON, MAREKANI RAIS wa Amerika Donald Trump anawataka wakali wa teknolojia sasa kutengeneza mfumo wa...
- by adminleo
- January 8th, 2019
UBABE: Hatari ya vita baina ya Amerika na Uchina yanukia 2019
NA FAUSTINE NGILA KATIKA taarifa za kimataifa za miaka ya hivi karibuni, vita vya kiuchumi baina ya Amerika na Uchina zimetawala kwenye...