• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 3:34 PM
Jengo la bodaboda mjini Kisii ni ‘eneo la uhalifu’ – Polisi

Jengo la bodaboda mjini Kisii ni ‘eneo la uhalifu’ – Polisi

NA RUTH MBULA

MAAFISA wakiwemo wa kitengo cha GSU wamelizingira jengo la chama cha ushirika cha wahudumu wa bodaboda mjini Kisii na kuliwekea alama kuwa ni sehemu ya uhalifu.

Kamanda wa Polisi Kisii Bw Charles Kases amethibitisha kwamba kuna ambayo maafisa wanachunguza katika eneo hilo.

Hatua ya maafisa Ijumaa inajiri siku mbili tu baada ya maelfu ya wahudumu wa bodaboda kuzindua chama chao cha ushirika.

Jengo hilo liko nyuma ya jengo la Bunge la Kaunti ya Kisii.

  • Tags

You can share this post!

KEBS sasa yasema unga wa Mokwa aliozindua Raila ni salama...

Mbona anapigia dadangu mdogo simu kisiri, kwani sitoshi?

T L