• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 11:38 AM
Mitihani ya KCPE 2023 na KPSEA yaanza kote nchini

Mitihani ya KCPE 2023 na KPSEA yaanza kote nchini

NA SAMMY WAWERU

MITIHANI ya Kitaifa ya Darasa la Nane (KCPE 2023) na ile ya Gredi ya Sita (KPSEA), imeanza kote nchini Jumatatu, Oktoba 30, 2023 ulinzi ukiimarishwa katika kila kituo cha usambazaji.

Maafisa wakuu serikalini, wanaongoza shughuli za kufungua mitihani ili kusambazwa shuleni.

Kamishna wa Kaunti ya Samburu, Henry Wafula akifungua mitihani ya KCPE na KPSEA Mjini Maralal. PICHA|GEOFFREY ONDIEKI
Katibu Masuala ya Baraza la Mawaziri, Salim Dokota (shati jeupe), akiongoza kufungua mitihani eneo la Garsen, Tana Delta. PICHA|STEPHEN ODUOR

Katibu Masuala ya Baraza la Mawaziri, Salim Dokota (shati jeupe), akiongoza kufungua mitihani eneo la Garsen, Tana Delta. PICHA|STEPHEN ODUOR

Usambazaji wa KCPE na KPSEA Siaya. PICHA|KSASSIM ADINASI

Usambazaji wa KCPE na KPSEA Siaya. PICHA|KSASSIM ADINASI

 

  • Tags

You can share this post!

Mwisho wa mfumo wa 8-4-4 (KCPE), mwanzo wa KPSEA (CBC)  

Ruto: Kuanzia 2024 hatutakuwa tukiagiza mahindi nje ya...

T L