NA SAMMY WAWERU
MITIHANI ya Kitaifa ya Darasa la Nane (KCPE 2023) na ile ya Gredi ya Sita (KPSEA), imeanza kote nchini Jumatatu, Oktoba 30, 2023 ulinzi ukiimarishwa katika kila kituo cha usambazaji.
Maafisa wakuu serikalini, wanaongoza shughuli za kufungua mitihani ili kusambazwa shuleni.
Katibu Masuala ya Baraza la Mawaziri, Salim Dokota (shati jeupe), akiongoza kufungua mitihani eneo la Garsen, Tana Delta. PICHA|STEPHEN ODUOR
Usambazaji wa KCPE na KPSEA Siaya. PICHA|KSASSIM ADINASI