• Nairobi
  • Last Updated March 19th, 2024 8:55 AM

Tinubu aagiza maafisa wafanye halahala kuokoa wanafunzi waliotekwa nyara

NA MASHIRIKA ABUJA, NIGERIA RAIS wa Nigeria Bola Tinubu ameamuru maafisa wa usalama kutolipa ridhaa kwa ajili ya kuachiliwa kwa zaidi...

Putin kifua mbele uchaguzi ukinukia

NA MASHIRIKA MOSCOW, URUSI KURA ya maoni inaonyesha Rais wa Urusi Vladimir Putin anaweza kushinda uchaguzi wa Machi kwa asilimia...

Amerika yawawekea vikwazo wafadhili wa Al-Shabaab

NA REUTERS WASHINGTON D.C., AMERIKA WIZARA ya Fedha nchini Amerika, Jumatatu ilitangaza kuwawekea vikwazo watu na taasisi ilizozitaja...

Hatua za Ariel Henry kutaka kuyaponda magenge Haiti zamsukuma kona mbaya

WANDERI KAMAU Na MASHIRIKA HATUA ya Waziri Mkuu wa Haiti Ariel Henry kutangaza kujiuzulu mnamo Jumatatu, imezua maswali kuhusu ikiwa...

Rais Ruto na Waziri Blinken wafanya mazungumzo kuhusu Haiti

NA CHARLES WASONGA WAZIRI wa Masuala ya Kigeni wa Amerika Antony Blinken Jumamosi, Machi 9, 2024 alifanya mazungumzo na Rais William...

Waziri Mkuu wa Haiti ‘ahepea’ Puerto Rico

NA MASHIRIKA WAZIRI Mkuu wa Haiti Ariel Henry alitua Puerto Rico Jumanne jioni na hivyo kuondoa wasiwasi kuhusu aliko baada ya ziara...

Haiti yatangaza hali ya hatari  

WANDERI KAMAU na MASHIRIKA  HAITI mnamo Jumatatu, Machi 4, 2024, ilitangaza hali ya hatari kwa muda wa saa 72 na kafyu nyakati za usiku...

Rihana alipwa mabilioni kutumbuiza wageni kwenye sherehe ya bwanyenye India

NA WANDERI KAMAU MWANAMUZIKI Rihanna kutoka Amerika amelipwa Sh1.3 bilioni baada ya kutumbuiza wageni kwenye hafla ya matayarisho ya...

Rais wa zamani Tanzania Hassan Mwinyi kuzikwa Jumamosi

NA MASHIRIKA DAR-ES-SALAAM, TANZANIA RAIS wa zamani wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi, aliyeaga dunia Alhamisi jioni, atazikwa Jumamosi...

Kenya, Haiti zaivisha dili ya polisi 1,000 kupelekwa kukabili magenge

NA MWANDISHI WETU KENYA na Haiti zimetia saini makubaliano ya mkataba wa polisi 1,000 kutumwa katika taifa hilo la Carribean...

Rais wa pili wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi aaga dunia

NA THE CITIZEN, Tanzania Rais wa pili wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi ameaga dunia. Kulingana na taarifa kutoka Ikulu ya Dodoma na Rais...

Tanzania yapata treni za umeme, Kenya ikisukuma maisha na za kizamani

MWANANCHI Na CHARLES WASONGA SHUGHULI za uchukuzi kwa treni za kutumia umeme zikitarajiwa kuanza rasmi nchini Tanzania kuanzia Julai...