NA CHARLES WASONGA NAPONGEZA tume ya kupokea malalamishi kutoka kwa umma, almaarufu, Ombudsman, kwa kumtetea mpishi wa Shule ya Upili ya...
NA CECIL ODONGO KUNA msemo kuwa anayetawala kwa mkono wa chuma naye hukumbana na kifo cha kikatili. Msemo huu unatumiwa hasa...
NA JURGEN NAMBEKA KILA unapotembea katika mitaa ya jiji la Mombasa, utakutana na watu kadhaa, wanaojisakia tonge kwa kuombaomba. Mara...
NA MHARIRI MANENO yao pekee yanaweza kuamua iwapo Kenya itafuata mwelekeo wa mataifa mengine yaliyosambaratika au itarejea katika...
NA CHARLES WASONGA MPANGO wa serikali wa kuanzisha vitambulisho vya kitaifa vya kidijitali kufikia mwishoni mwa mwaka huu ni mzuri ila...
NA MHARIRI WAKATI huu msimu wa soka nchini unaelekea kumalizika, itakuwa vyema iwapo waamuzi wa mechi hizo watatekeleza wajibu wao bila...
NA DOUGLAS MUTUA HIVI Waafrika wana nia ya kusuluhisha matatizo yao kivyao, bila kuwahusisha wageni, au wao ni ‘domo-kaya’ tu?...
NA CECIL ODONGO KAUNTI ya Siaya ni miongoni mwa majimbo ambayo yanaheshimika nchini kutokana na kuwa chimbuko la viongozi mahiri ambao...
NA KINYUA KING'ORI RAIS William Ruto na viongozi wengine katika serikali ya Kenya Kwanza inaonekana wamesahau Wakenya waliwachagua...
NA CHARLES WASONGA KUNA msemo wa kale kwamba kuna vitu viwili pekee ambavyo ni lazima maishani: kifo na ushuru. Japo ushuru ni...
NA MHARIRI SHIRIKISHO la Soka Nchini (FKF) limejifunza mengi siku chache tu baada ya kuwapiga marufuku mashabiki wa klabu ya AFC...
NA DOUGLAS MUTUA LAITI pangalikuwapo na mfumo mbadala wa siasa ambapo wananchi wanajiwakilisha moja kwa moja bila kuwachagua...