KINYUA KING’ORI: Ufisadi: Gachagua afanye kweli na ataje waporaji wote wa mali ya umma

NA KINYUA KING’ORI KENYA ni taifa lenye utajiri na uwezo mkubwa kiuchumi, licha ya wananchi kuonekana kulemewa na hali ngumu ya...

JURGEN NAMBEKA: Magavana waipe kipaumbele miradi muhimu iliyokwama

NA JURGEN NAMBEKA WAKAZI wa kisiwa cha Dongo Kundu katika Kaunti ya Kilifi hivi majuzi walijitokeza kulalamikia kutokamilishwa kwa daraja...

TAHARIRI: Matamshi ya Msimamizi wa Bajeti hayakufaa

NA MHARIRI KAULI ya Msimamizi wa Bajeti bungeni kwamba alilazimishwa kuruhusu matumizi ya Sh15 bilioni na utawala wa rais mstaafu Uhuru...

WANDERI KAMAU: Je, kauli tata ya Seneta Cheruiyot ni sera mpya ya serikali ya Kenya Kwanza?

NA WANDERI KAMAU KATIKA mpangilio wa kiutawala uliopo nchini kwa sasa, Kiongozi wa Wengi katika Seneti ni mtu mwenye ushawishi sana....

CECIL ODONGO: Cheche za Malala zitabomoa UDA na kufifisha umaarufu

NA CECIL ODONGO KATIBU Mkuu wa chama cha United Democratic Alliance (UDA), Cleophas Malala, anaonekana kulewa mamlaka kiasi cha kutoa...

TAHARIRI: Matamshi haya ya ‘kiwazimu’ sharti yazimwe

NA MHARIRI KATIKA demokrasia nyingi zinazostawi, wanasiasa wanaojiona kuwa karibu na utawala hujisahau na kupita mipaka yao. Hujiona...

WANDERI KAMAU: Sauti za jamii ndogo zianze kusikika katika uongozi

NA WANDERI KAMAU JE, ni lini tutazikumbuka jamii ndogo nchini? Ni lini watu wachache watapata usemi wao katika jamii? Ni lini mchango...

TAHARIRI: Rais Ruto na naibu wake wahudumie raia, si kulaumu Raila kila saa

NA MHARIRI KATIKA mikutano yao tangu waingie Ikulu, Rais Ruto na naibu wake Gachagua wamekosa kutilia manani changamoto zinazokabili...

TAHARIRI: Usimamizi wa raga ulainishwe ili kuinua ubora

NA MHARIRI TIMU ya raga ya wachezaji saba kila upande almaarufu Kenya Shujaa imehangaika kwenye Raga za Dunia za msimu...

WANDERI KAMAU: Nigeria ni mfano bora kuwa mtu mui hatimaye huwa mwema

NA WANDERI KAMAU MTU anapofanya vizuri ikilinganishwa na vitendo vyake vya awali, anafaa kupongezwa kwa kuimarisha vitendo ama mwelekeo...

DOUGLAS MUTUA: Kweli Kenya imehalalisha ushoga au ni hisia kali tu?

NA DOUGLAS MUTUA HIVI haramu imehalalishwa, yaani ushoga ukaidhinishwa kisheria nchini Kenya? Hii ninayosikia ni mihemko ya kawaida tu...

CECIL ODONGO: Mali ya umma isitumiwe kufadhili afisi zisizotambulika rasmi kikatiba

NA CECIL ODONGO AFISI za wake wa Naibu Rais Rigathi Gachagua na Kinara wa Mawaziri Musalia Mudavadi, zifutiliwe mbali. Wiki jana, Bw...