TAIFA LEO Logo
  • Habari
    • Habari za Kitaifa
    • Habari za Kaunti
    • Kimataifa
  • Siasa
  • Maoni
  • Makala
    • Afya na Jamii
    • Lugha, Fasihi na Elimu
    • Akili Mali
    • Jamvi La Siasa
    • Shangazi Akujibu
    • Bambika
    • Pambo
    • Dimba
  • Dondoo
  • Bi Taifa
  • Mashairi
  • Michezo
  • NIE Shuleni
NiE Shuleni

Shule ya Bituyu FYM Comprehensive, Kimilili

February 10th, 2025 Wanafunzi wa Shule ya Bituyu FYM Comprehensive, Kimilili walivyochangamkia hamasisho la Elimu kupitia Magazeti, almaarufu Newspaper in Education (NiE).
Kikosi cha wanafunzi waliotumbuiza wenzao, walimu na wageni kwa nyimbo na mashairi wakati wa hamasisho la mradi wa Newspapers in Education (NiE).
Wanafunzi walipokuwa wakifuatilia matukio na mawasilisho kwa makini wakati wa hamasisho.
Baadhi ya walimu wa Shule ya Bituyu Comprehensive iliyoko Kimilili, Kaunti ya Bungoma, walipopigwa picha baada ya hamasisho la NiE kukamilika.
Wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Bituyu FYM waonea fahari mashati-tao ya Taifa Leo. PICHA| CHRIS ADUNGO
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi ya Bituyu FYM iliyoko Kimilili, Kaunti ya Bungoma, asoma Taifa Leo.
TAIFA LEO Logo

Mitandao ya kijamii

Maarufu sana

Kaeni rada, kutakuwa na mvua maeneo haya

December 7th, 2025

Uasi ODM viongozi wakisusia ziara Ikulu na kulazimu Oburu kwenda peke yake

December 5th, 2025

Onyo la Serikali kwa Wakenya wanaoishi Tanzania

December 6th, 2025

Usikose

Jinsi biashara ya kuongeza thamani nazi inavyomfaidi

December 10th, 2025

Moto: Zaidi ya familia 100 zapoteza makazi yao Mukuru-Kayaba

December 10th, 2025

Anatumia wadudu aina ya BSF kufuga samaki

December 10th, 2025
Copyright © 2025 Nation Media Group. All rights reserved.