Habari za Kitaifa
Mchuuzi aliyepigwa risasi na polisi katika maandamano angali hai, familia yathibitisha

Mwanamume aliyepigwa risasi kichwani karibu na Imenti House wakati wa maandamano, akimbizwa hospitalini. Picha|Billy Ogada
BONIFACE Kariuki, mchuuzi wa barakoa aliyepigwa risasi na afisa wa polisi wakati wa maandamano jijini Nairobi Jumanne, angali hai, familia yake imesema.
Babake, John Kariuki alisema mwanawe alipigwwa risasi kichwani juu ya sikio…
Habari zaidi zinafuata…