Shangazi Akujibu

SHANGAZI AKUJIBU: Mpenzi wangu ananichunga sana

Na SHANGAZI October 30th, 2025 Kusoma ni dakika: 1

SWALI: Mpenzi wangu hataki niongee na marafiki na hataki nitoke bila ruhusa yake. Anasema ananipenda sana ndiyo maana. Je, haya ni mapenzi ya kweli?

Jibu: Upendo haupaswi kuwa kama gereza. Mtu anayekupenda anakupa uhuru, si maelekezo ya kijela. Kimbia kabla hajaanza kukufungia simu na kufukuza marafiki zako.

IMETAYARISHWA NA WINNIE ONYANDO