Sunday, November 24th, 2019                                                
                                                BI TAIFA NOVEMBA 10, 2019
Mary Jepkoech, 24, ni mwanamitindo wa kaunti ya Uasin Gishu. Hivi sasa anasomea taaluma ya uanahabari katika chuo kimoja jijini Nairobi. Uraibu wake ni kuogelea na kutazama filamu.
Picha/Richard Maosi