NA MASHIRIKA
Wabunge wanawake wa Bunge la Taifa la Tanzania wamepigwa marufuku na Spika wa bunge hilo Bw Job Ndungai kuingia kwenye majengo ya bunge wakiwa wamevaa kucha na kope bandia.
Bw Ngungai alisema kwamba aliweka amri hiyo baada ya Waziri wa Afya Faustine Ndugulile kuzua hisia kali jinsi kucha bandia zitaweza kuleta madhara mwilini.
Amri hiyo pia itafutwa na wageni watakaotembelea bunge, alisema. Wabunge hao pia walikatazwa kuvaa nguo fupiĀ kwenye bunge.
Utumizi sana wa kucha hizi unaeza kuleta madhara yafuatayo: