• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 9:12 AM
BI TAIFA AGOSTI 22, 2020

BI TAIFA AGOSTI 22, 2020

Faith Kwamboka mwenye umri wa miaka 21 ndiye anatupambia ukurasa wetu leo, yeye ni mzawa wa eneo la Freearea Kaunti ya Nakuru. Anapenda kushiriki katika mashindano ya uanamitindo, kusoma majarida ya mapambo na kusafiri.
Picha/Richard Maosi

You can share this post!

BI TAIFA AGOSTI 21, 2020

BI TAIFA AGOSTI 23, 2020