Tag: afya
ONGAJI: Mashirika yameanika udhaifu wa sekta ya afya Afrika
Na PAULINE ONGAJI Hivi majuzi kuliibuka mtafaruku baina ya mashirika mawili yasiyo ya kiserikali nchini, kuhusu udhibiti wa fedha...
Mwanamume shupavu anayehamasisha umma kuhusu maswala ya hedhi
Na DIANA MUTHEU KULINGANA na ripoti ya Benki ya Dunia ya mwaka wa 2018, wasichana 500 milioni ulimwenguni kote hawakuweza kupata vifaa...
‘Wahudumu wa afya Mombasa hawana bima ya afya’
Na WINNIE ATIENO WAHUDUMU wa afya katika Kaunti ya Mombasa wanafanya kazi bila bima ya afya wakiendelea kuhatarisha maisha yao...
Kifafa hakijamzuia kutimiza ndoto yake
Na PAULINE ONGAJI Licha ya changamoto anazokumbana nazo maishani kama mwathiriwa wa maradhi ya kifafa, kila siku anajizatiti kuishi...
- by adminleo
- June 13th, 2020
Wahudumu wa afya Mombasa watishia kugoma
Na WINNIE ATIENO WAHUDUMU wa afya katika Kaunti ya Mombasa wametishia kuanza mgomo baridi kufuatia kucheleweshwa kwa mshahara wa...
- by adminleo
- June 11th, 2020
COVID-19: Visa vipya ni 121
Na SAMMY WAWERU KWA muda wa kipindi cha saa 24 zilizopita, Kenya imethibitisha visa vipya 121 vya Covid- 19, idadi jumla ya wagonjwa...
- by adminleo
- June 1st, 2020
AFYA: Hatua za kumsaidia mjamzito kupunguza kichefuchefu
Na MARGARET MAINA [email protected] MIEZI mitatu ya kwanza ya ujauzito, ni muda wa mabadiliko mbalimbali kimwili na...
- by adminleo
- May 27th, 2020
SIHA NA LISHE: Ulaji wa tende una manufaa kadhaa katika mwili wa binadamu
Na MARGARET MAINA [email protected] TUNDA aina ya tende ni maarufu sana katika mataifa ya Arabuni kama vile Saudi Arabia na...
- by adminleo
- May 19th, 2020
Kagwe awapongeza Wakenya kwa kutilia maanani taratibu na sheria za kudhibiti Covid-19
Na SAMMY WAWERU KENYA inaendelea kukabili janga hatari la Covid-19 na Waziri wa Afya Mutahi Kagwe sasa anawapongeza Wakenya akisema...
- by adminleo
- May 18th, 2020
KMPDU yasisitiza kubuniwe tume ya kuajiri wahudumu wa afya na kuangazia maslahi yao
Na SAMMY WAWERU MUUNGANO wa Madaktari, Watalaamu wa Dawa na Madaktari wa Meno (KMPDU) Jumatatu umesema maslahi na masaibu yanayofika...
- by adminleo
- May 11th, 2020
‘Huenda ukalazimika kupimwa Covid-19 kabla ulazwe hospitalini’
Na CHARLES WASONGA HUENDA Wakenya wote watakaohitajika kulazwa hospitalini kwa matibabu zaidi wakalazimika kupimwa kubaini kama wana...
- by adminleo
- May 7th, 2020
COVID-19: Visa vipya leo ni 25 idadi jumla nchini ikifika 607
Na MWANDISHI WETU VISA vipya vya Covid-19 nchini Kenya leo Alhamisi ni 25 idadi jumla nchini ikifika 607, ametangaza Waziri Msaidizi wa...