Tag: chakula
- by adminleo
- May 13th, 2020
Kanisa la PCEA lawapa chakula wahitaji wa msaada
Na LAWRENCE ONGARO KANISA la PCEA Makongeni, Thika, linaendelea kuwasaidia watu wa kipato cha chini kwa kuwapa chakula ikiwa ni njia...
- by adminleo
- May 12th, 2020
CTWOO: Shirika lawafaa wengi kwa kusambaza chakula mitaa ya mabanda
Na SAMMY WAWERU MOYO wa kutoa ulichangia pakubwa hatua ya Bi Dianah Kamande kuanzisha shirika moja lisilo la kiserikali (NGO) la...
- by adminleo
- May 7th, 2020
Mkurugenzi wa Skyways, wazazi wawatunuka walimu chakula na bidhaa muhimu
Na MISHI GONGO IMEKUWA furaha kwa walimu wa shule ya msingi ya mmiliki binafsi ya Skyways iliyoko VOK eneobunge la Nyali baada ya wazazi...
- by adminleo
- May 6th, 2020
COVID-19: Walemavu Thika walalama chakula cha msaada hakiwafikii
Na LAWRENCE ONGARO UGAWAJI wa chakula unastahili kuendeshwa kwa uwazi bila ubaguzi. Walemavu na vipofu kutoka kijiji cha Kiandutu...
- by adminleo
- May 3rd, 2020
Jamii ya Wamakonde yalalama imetengwa katika ugavi wa chakula
Na MISHI GONGO JAMII ya Wamakonde wanaoishi eneo la Makongeni, Msambweni katika Kaunti ya Kwale, ina malalamiko kuhusu kutengwa katika...
- by adminleo
- April 8th, 2020
Wazee wamlaani gavana kuzuia mbunge kuwapa chakula
Na TITUS OMINDE WAKONGWE wanaoishi katika mitaa ya mabanda katika Kaunti ya Uasin Gishu wamemshtumu Gavana Jackson Mandago kwa madai ya...
- by adminleo
- April 5th, 2020
Mashirika, viongozi waanza kutoa chakula cha msaada
Na WAANDISHI WETU SERIKALI za Kaunti, viongozi wa makanisa na mashirika mbalimbali wameanza kutoa vyakula kwa familia zisizojiweza...
- by adminleo
- March 30th, 2020
Hakuna chai wala chakula kwa maseneta kikaoni
NA DAVID MWERE HUKU maseneta wote 67 wakikongamana Jumanne baada ya Seneti kusitisha vikao vyake hapo Machi 17 kutokana na janga la...
- by adminleo
- March 26th, 2020
CORONA: Wakazi waonywa dhidi ya kula sahani moja
Na WAWERU WAIRIMU SPIKA wa Bunge la Kaunti ya Isiolo Hussein Roba amewarai wakazi wakomeshe utamaduni wa kula kwenye sahani moja, wakati...
- by adminleo
- February 12th, 2020
FAO yaonya uvamizi wa nzige unahatarisha upatikanaji wa chakula
Na MAGDALENE WANJA SHIRIKA la Chakula na Kilimo (FAO) la Umoja wa Mataifa limetoa onyo likisema kwamba uvamizi wa nzige unaoshuhudiwa...
- by adminleo
- January 30th, 2020
Nzige ni chakula kizuri, wataalamu washauri
Na WINNIE ATIENO WATAALAMU wa hali ya hewa na tabianchi na wenzao wa lishe bora wamewasihi Wakenya wavune nzige waliovamia zaidi ya...
- by adminleo
- December 5th, 2019
Kuku ndicho chakula maarufu nchini Kenya – Ripoti
Na MARY WANGARI IDADI kubwa ya Wakenya hupendelea kuagiza mlo wa kuku na pizza ambavyo ni miongoni mwa vyakula vilivyojitwalia umaarufu...