• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 6:27 PM

Marudiano kwenye raundi za tatu na nne katika Kombe la FA yafutiliwa mbali

Na MASHIRIKA MARUDIANO ya mechi za raundi za tatu na nne katika Kombe la FA yamefutiliwa mbali msimu huu ili kupunguza mrundiko wa mechi...

Leicester City waponda Chelsea na kutwaa Kombe la FA

Na MASHIRIKA KIUNGO Youri Tielemans alifunga bao la pekee dhidi ya Chelsea na kushindia waajiri wake Leicester City ufalme wa Kombe la FA...

Vikosi 14 vya EPL vilivyotinga raundi ya nne FA

Na CHRIS ADUNGO VIKOSI vyote vya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) isipokuwa Crystal Palace, Aston Villa, Newcastle United, West Bromwich...

COVID-19: Tuzo za washindi wa Kombe la FA zapunguzwa kwa asilimia 50

Na MASHIRIKA WAFALME wa Kombe la FA msimu huu wa 2020-21 watatia mfukoni Sh476 milioni pekee, hii ikiwa nusu ya kiasi cha fedha...

NUSU-FAINALI FA: Manchester United kuvaana na Chelsea huku Arsenal ikionana na mabingwa watetezi Manchester City

Na CHRIS ADUNGO MANCHESTER United watakutana na Chelsea, nao Arsenal wavaane na mabingwa watetezi Manchester City katika nusu-fainali za...

Tarehe mpya za michuano ya Kombe la FA zatolewa

Na CHRIS ADUNGO ROBO-FAINALI za mechi za kuwania ubingwa wa Kombe la FA msimu huu sasa zitaandaliwa wikendi ya Juni 27-28, 2020 huku...

Arsenal matumaini yote sasa ni kwa Kombe la FA

Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza MKUFUNZI wa Arsenal, Mikel Arteta amewataka vijana wake kuweka kando maruerue ya kubanduliwa nje ya...