Tag: fedha
Ukosefu wa hela umeeneza corona kwenye kaunti – Magavana
Na RICHARD MUNGUTI KUCHELEWESHWA kwa fedha za kaunti na Hazina Kuu kumechangia pakubwa kuongezeka kwa maambukizi ya Covid-19 maeneo ya...
Serikali ‘yachapisha’ pesa mpya kufufua uchumi
NA FAUSTINE NGILA SERIKALI 'imechapisha' fedha mpya za Sh15 bilioni katika kipindi cha siku saba kufikia Septemba 25, kulingana na...
Maseneta sasa waamua kuharakisha mswada wa kuwezesha kaunti kupata sehemu ya fedha
Na CHARLES WASONGA BAADA ya kung’amua kuwa hawataelewana haraka kuhusu mfumo wa ugavi wa fedha baina ya kaunti, maseneta sasa...
- by adminleo
- August 3rd, 2020
WASONGA: Mzozo wa ugavi pesa ni kuhusu siasa wala si maslahi ya raia
Na CHARLES WASONGA LEO maseneta wanarejelea mjadala tata kuhusu mfumo wa ugavi wa fedha miongoni mwa kaunti 47. Hii ni baada yao kukosa...
- by adminleo
- July 24th, 2020
Maskini kupigwa kiboko
Na CHARLES WASONGA WATU wanaoishi katika kaunti maskini za Pwani, Kaskazini Mashariki na Ukambani wataendelea kuzama kwenye uchochole...
- by adminleo
- July 8th, 2020
Maseneta wachemka wakipinga mfumo mpya wa ugavi wa fedha
NA CHARLES WASONGA ZAIDI ya maseneta 21 wamepinga mfumo mpya wa ugavi wa fedha baina ya kaunti uliopendekezwa na Tume ya Ugavi wa Mapato...
- by adminleo
- July 1st, 2020
Bei ya unga kushuka
Na CHARLES WASONGA NI rasmi sasa kwamba bei ya unga wa mahindi na ngano itashuka na hivyo kuwanusuru Wakenya kutokana na makali ya...
- by adminleo
- April 29th, 2020
Wito klabu zitengewe asilimia kubwa mgao wa fedha za Fifa
Na CHRIS ADUNGO HUKU kila mojawapo ya mashirikisho ya soka duniani yakitarajiwa kupokea kima cha Sh50 milioni kutokana na mgao wa...
- by adminleo
- April 28th, 2020
Ukuaji wa uchumi washuka
Na CHARLES WASONGA UKUAJI wa uchumi wa Kenya ulipungua hadi asilimia 5.4 mwaka 2019 kutoka asilimia 6.3 mnamo 2018, takwimu za hivi...
- by adminleo
- March 28th, 2020
Muturi amtaka Yatani aunde hazina maalum ya kuweka fedha kutoka kwa mishahara iliyokatwa
Na CHARLES WASONGA SPIKA wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi amemtaka Waziri wa Fedha Ukur Yatani abuni hazina maalum ambapo pesa...
- by adminleo
- December 18th, 2019
Serikali Kuu kuzinyima fedha kaunti 34 ambazo hazijalipa madeni
Na CHARLES WASONGA SERIKALI za kaunti 34 ambazo hazijalipa madeni yao yote halali kufikia Juni 30, 2018 huenda zikanyimwa mgao wa fedha...
- by adminleo
- November 26th, 2019
Maseneta wamuunga Yatani kuzinyima fedha kaunti zenye malimbikizo ya madeni
Na CHARLES WASONGA MPANGO wa Wizara ya Fedha wa kuzinyima fedha serikali 15 za kaunti ambazo hazijalipa madeni yao umepata uungwaji...