Tag: ingwe
- by adminleo
- January 17th, 2019
Ingwe wajinyanyua KPL
NA CECIL ODONGO AFC Leopards Alhamisi waliandikisha ushindi wao wa pili kwenye ligi kwa kuicharaza Chemelil Sugar 2-1 katika uga wa Moi...
- by adminleo
- December 31st, 2018
Mashabiki waitaka Ingwe iwagware Rangers kukomesha matokeo duni
Na GEOFFREY ANENE MASHABIKI wa AFC Leopards wameiomba imalize ukame wa mechi nane bila ushindi kwenye Ligi Kuu itakapoalikwa na Posta...
- by adminleo
- December 8th, 2018
Mashabiki wa Ingwe wakaribisha kocha mpya kwa matusi na vitisho
Na GEOFFREY ANENE MASHABIKI wamemkaribisha kocha mpya wa AFC Leopards Marko Vasiljevic na mshambuliaji mpya Lawrence Luvanda shingo upande...
- by adminleo
- September 14th, 2018
Ingwe kujaribu kukata kiu ya ushindi ikikutana na Rangers
Na Geoffrey Anene AFC Leopards itarejea ulingoni kuzichapa dhidi ya Posta Rangers hapo Septemba 15 ikitafuta kufuta vichapo ilivyopokea...
- by adminleo
- August 30th, 2018
Ingwe yang’olewa kucha na Wazito FC
Na Geoffrey Anene AFC Leopards ilitupa uongozi wa bao moja na kushangazwa 2-1 na Wazito katika mechi za raundi ya 29 za Ligi Kuu...
- by adminleo
- August 29th, 2018
Presha ya mashabiki kwa Ingwe irarue Wazito FC
Na Geoffrey Anene MASHABIKI wa AFC Leopards wametaka timu yao imalizie hasira yake kwa Wazito FC zitakapokutana katika mechi ya Ligi Kuu...
- by adminleo
- August 24th, 2018
#MashemejiDerby: Ingwe yalenga kuigwara Gor bila kucha za Odera
Na GEOFFREY ANENE AFC Leopards itakosa mfumaji wake hodari Ezekiel Odera itakapokuwa ugenini dhidi ya mahasimu wa tangu jadi Gor Mahia...
- by adminleo
- August 1st, 2018
Zapata atasalia kuinoa Ingwe – Mule
NA CECIL ODONGO MWENYEKITI wa AFC Leopards Dan Mule amemhakikishia kocha Rodolfo Zapata uungwaji mkomo na kusisitiza kwamba klabu hiyo...
- by adminleo
- July 31st, 2018
Kinara wa Ingwe apongeza timu kwa bao moja dhidi ya Vihiga
Na CECIL ODONGO MWENYEKITI wa AFC Leopards Dan Mule amewapongeza wachezaji wa timu hiyo kufuatia ushindi walioutwaa dhidi ya Vihiga United...
- by adminleo
- July 10th, 2018
Zapata ajipiga kifua Ingwe itaitafuna Gor Jumapili
Na CECIL ODONGO Mjadala wa nani jabali wa soka nchini kati ya Klabu za GorMahia na AFC Leopard umeibuka tena baada ya kocha wa ingwe...
- by adminleo
- June 25th, 2018
Ingwe wawinda Mnigeria anayesakata Uganda
Na JOHN ASHIHUNDU Baada ya juhudi zao za kumpata straika Elvis Rupia wa Nzoia United kuambulia patupu, huenda AFC Leopards ikamsaini raia...
- by adminleo
- June 25th, 2018
Ingwe yaahidi kuhifadhi makinda wake wote
Na JOHN ASHIHUNDU Klabu ya AFC Leopards haitawaruhusu wachezaji wake chipukizi kuondoka klabuni kipindi hiki cha wachezaji kubadilisha...