• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 11:28 AM

Lazima niwanie urais 2022 – Kalonzo

NA WANDERI KAMAU KIONGOZI wa chama cha Wiper, Bw Kalonzo Musyoka, amesisitiza kuwa atawania urais mnamo 2022 licha ya chama chake kuwa...

Mabwanyenye wa Ukambani mbioni kupimana ubabe

KITAVI MUTUA na PIUS MAUNDU SIASA za Ukambani zinaendelea kuchukua mwelekeo mpya huku uhasama mkubwa ukiibuka kati ya mabwenyenye wawili...

Muthama aapa kuzima Kalonzo kisiasa 2022

WYCLIFF KIPSANG na GASTONE VALUSI CHECHE za maneno kati ya kiongozi wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka na aliyekuwa seneta wa Machakos,...

Wiper yaishtaki ODM kuhusu uongozi bungeni

Na Collins Omullo MVUTANO kuhusu wadhifa wa naibu kiongozi wa wachache katika Bunge la Kaunti ya Nairobi umechukua mkondo mpya, huku...

Wafaa kunishukuru, Muthama ajibu Kalonzo

Na GASTONE VALUSI SENETA wa zamani wa Machakos, Johnson Muthama, amejibu madai ya kiongozi wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka kuwa...

ODM yakana Raila ana mkataba wa siri na Kalonzo

Na BENSON MATHEKA CHAMA cha Orange Democratic Movement (ODM), kimekanusha kwamba kiongozi wake Raila Odinga ana mkataba wa siri na...

Komesha ‘utikitimaji’, Kalonzo afokewa

NA JUSTUS OCHIENG VYAMA vya Orange Democratic Movement (ODM), Amani National Congress (ANC) na Ford Kenya, sasa vinataka chama cha Wiper...

JAMVI: Je, ni busara kwa Kalonzo kuungana na Jubilee?

Na BENSON MATHEKA KIONGOZI wa Wiper, Bw Kalonzo Musyoka ameanza kucheza kamari ya kisiasa kwa njia tofauti, akitangulia na kuondoa chama...

Wiper yavunja mkataba na Nasa, yaingia Jubilee rasmi

Na BENSON MATHEKA CHAMA cha Wiper kinachoongozwa na Bw Kalonzo Musyoka, kimeamua kuunda muungano rasmi na Chama cha Jubilee. Hatua...

JAMVI: Kalonzo alivyomwokoa Ngilu kutoka kinywa cha mamba

Na BENSON MATHEKA KIONGOZI wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka ‘alicheza nyuma ya pazia’ kumuokoa Gavana wa Kitui, Bi Charity Ngilu...

Sababu ya Kalonzo kuingia safina ya UhuRaila

Na LEONARD ONYANGO SIASA za Kenya zilichukua mkondo mpya jana baada ya vyama vya Wiper na CCM kutangaza rasmi kuwa vitashirikiana na...

Raila hafai kugombea urais 2022 – Kalonzo

Na WANDERI KAMAU KINARA wa Wiper Bw Kalonzo Musyoka amesema kuwa kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga hapaswi kuwania urais mnamo 2022,...