Tag: kifo
Jagina wa soka raia wa Senegal, Papa Bouba Diop aaga dunia
Na MASHIRIKA NYOTA wa zamani wa Fulham, Portsmouth na timu ya taifa ya Senegal, Papa Bouba Diop aliaga dunia mnamo Novemba 29, 2020...
Huzuni watu 10 wakifa maji ziwani
Na DICKENS WASONGA BIWI la simanzi lilitanda katika ufuo wa Ziwa Victoria, eneo la Bondo, Kaunti ya Siaya baada ya watu 10 kufa maji...
Afa lojing’i akiwa na jamaa
Na MWANDISHI WETU POLISI jijini Nairobi wanachunguza kisa ambapo mwanamke aliaga dunia baada ya kuugua akiwa katika lojing’i na...
Familia yataka ripoti ya daktari kuhusu mtoto wao aliyefariki
Na SAMMY KIMATU [email protected] MTOTO wa umri wa miaka tisa alifariki Jumatano katika kisa chenye utata katika mtaa mmoja...
- by adminleo
- June 3rd, 2020
Wakashifu tukio ambapo baba na wanawe wawili waliuawa kwa tuhuma za kujihusisha na al-Shabaab
Na MISHI GONGO BAADHI ya viongozi wa dini ya Kiislamu Kusini mwa Pwani wamekashifu tukio la mauaji ya baba na wanawe wawili eneo la...
- by adminleo
- May 30th, 2020
TANZIA: Mwanamuziki John Nzenze aliyevumisha ‘twisti’ afariki
Na DERICK LUVEGA MWANAMUZIKI John Nzenze aliyeimba wimbo maarufu wa 'Angelike' amefariki hospitalini Mukumu alikokuwa amelazwa kwa...
- by adminleo
- May 12th, 2020
Legnano na Atalanta zathibitisha kifo cha kiungo chipukizi Andrea Rinaldi
Na CHRIS ADUNGO KIUNGO Andrea Rinaldi, ameaga dunia kutotakana na matatizo ya ubongo aliyoyapata wakati akishiriki mazoezi mepesi...
- by adminleo
- May 11th, 2020
COVID-19: Idadi ya Wakenya waliofariki ughaibuni yafika 20
Na CHARLES WASONGA WIZARA ya Mashauri ya Kigeni imethibitisha kuwa jumla ya Wakenya 20 wamefariki kutokana na sababu zinazohusishwa na...
- by adminleo
- May 7th, 2020
TANZIA: Dereva wa klabu ya Gor Mahia afariki
Na CECIL ODONGO JUMUIYA ya klabu ya Gor Mahia imempoteza dereva wao wa muda wa miaka mingi Bw Patrick Osewe Agwambo aliyefariki Jumatano...
- by adminleo
- May 3rd, 2020
Jagina wa Gor afariki, mazishi ni Jumanne
Na CECIL ODONGO JAGINA wa Gor Mahia Martin Ouma 'Ogwanjo' ambaye aliaga dunia mnamo Jumamosi asubuhi akiwa na umri wa miaka 71, atazikwa...
- by adminleo
- April 27th, 2020
Hospitali yajiondolea lawama kifo cha Walibora
Na CHARLES WASONGA AFISA Mkuu Mtendaji wa Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta (KNH) Dkt Evanson Kamuri amekana madai kuwa wahudumu wa...
- by adminleo
- April 26th, 2020
COVID-19: Mkenya afariki nchini Saudi Arabia
Na CHARLES WASONGA MKENYA amefariki kutokana na ugonjwa wa Covid-19 nchini Saudi Arabia, kulingana na balozi wa Kenya nchini humo Peter...