Tag: kilimo
- by adminleo
- October 31st, 2019
KILIMO NA BIASHARA MASHINANI: Shule iliyo mstari wa mbele kufunza wanafunzi kilimo kukabili baa la njaa
Na SAMMY LUTTA SHULE ya Msingi ya Pokotom mjini Kakuma, Kaunti Ndogo ya Turkana Magharibi ina idadi ya wanafunzi 1,500. Wanafunzi...
- by adminleo
- October 10th, 2019
AKILIMALI: Wizi wa mifugo ulimfanya aingilie kilimo; sasa hajuti
Na SAMUEL BAYA MWAKA wa 2009 wakati wa kilele cha wizi wa mifugo kati ya jamii za Wasamburu, Wapokoti na Waturkana, Mathew Lesiyampe...
- by adminleo
- October 8th, 2019
KILIMO: Mboleahai inayoimarisha mazao na rutuba udongoni
Na SAMMY WAWERU KATIKA kijiji cha Karanga kilichoko Kinangop Kusini, Kaunti ya Nyandarua, Bw Nicholas Ngata hufanya shughuli mbalimbali...
- by adminleo
- September 29th, 2019
UFUGAJI: Chumvi na madini faafu kwa mifugo ni muhimu kwa uzalishaji maziwa
Na SAMMY WAWERU ALIPOANZA ufugaji wa ng’ombe wa maziwa zaidi ya miaka saba iliyopita, Gitau Kinuthia alikuwa mateka wa chumvi na...
- by adminleo
- September 26th, 2019
HARAKATI ZA KUJIKIMU: Jamii ya ufugaji iliyobadili sura ya Samburu kwa kukuza mimea
Na SAMUEL BAYA KAUNTI ya Samburu inajulikana sana kwa sababu ya shughuli za ufugaji na zaidi biashara ya mifugo. Hii ni kwa sababu ya...
- by adminleo
- September 12th, 2019
RIZIKI NA MAARIFA: Ameunda ‘Israel ndogo’ mtaani kupitia uvunaji maji na ukulima
Na SAMMY WAWERU KUSINI Mashariki mwa Bahari ya Mediterranean na Kaskazini mwa Bahari ya Shamu, Israel ni taifa kame ambalo ni kitovu cha...
- by adminleo
- September 5th, 2019
AKILIMALI: Ufugaji kuku njia ya lishe shuleni pamoja na pato
Na PIUS MAUNDU na CHARLES WASONGA KITU kisicho cha kawaida kilihusishwa katika uchaguzi wa viongozi wa baraza la wanafunzi katika Shule...
- by adminleo
- August 12th, 2019
AKILIMALI: Mashine za kisasa kurahisisha kilimo
NA RICHARD MAOSI Mfumo wa kutekeleza kilimo kidijitali umekuwa ukipigiwa debe kutokana na uvumbuzi wa kisasa unaoelekea kurahisisha...
- by adminleo
- August 1st, 2019
Wakulima waondolewa hofu ya uhaba wa mbegu za mahindi
Na GERALD BWISA KAMPUNI ya mbegu nchini imewaondolea wakulima hofu kwamba kutakuwa na upungufu wa mbegu za mahindi kabla ya msimu ujao...
- by adminleo
- August 1st, 2019
Serikali yawatuma Israel wanafunzi 96 kufundishwa ukulima wa kisasa
Na MAGDALENE WANJA KATIKA juhudi zake za kutatua shida ya uhaba wa chakula nchini, serikali imewatuma wanafunzi 96 nchini Israel kupokea...
- by adminleo
- July 25th, 2019
AKILIMALI: Maembe yana mapato kwa wanaokuza miche iliyoimarishwa
Na SAMMY WAWERU KWA zaidi ya miaka 20, Mary Njuguna amekuwa akivuna maembe kutoka kwenye miembe miwili. Yeye hufanya kilimo-mseto...
- by adminleo
- July 21st, 2019
KILIMO: Faida za ‘greenhouses’
Na SAMMY WAWERU ILI kupata mazao bora na ya kuridhisha mkulima hakosi kupitia changamoto za hapa na pale katika jitihada zake. Ni...