Tag: kura
- by T L
- October 28th, 2021
BENSON MATHEKA: Ili kuadhibu viongozi wabaya, vijana wajisajili kupiga kura
Na BENSON MATHEKA KUNA kila dalili kwamba Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC)) haitatimiza lengo lake la kusajili wapigakura wapya...
- by T L
- October 28th, 2021
CHARLES WASONGA: IEBC yafaa kulaumiwa kwa idadi ndogo ya usajili kura
Na CHARLES WASONGA KWA mujibu wa kipendele cha 38 cha Katiba ya sasa, ni haki ya kila raia wa Kenya kupata habari zitakayomwezesha...
- by T L
- October 18th, 2021
Vijana wakaidi wazee 2022
Na BENSON MATHEKA SIASA za uchaguzi mkuu wa mwaka 2022 zinapoendelea kupamba moto, wazee wa jamii mbalimbali wamekuwa wakijitokeza kutoa...
Hofu ya Pwani kususia kura za 2022 yatanda
Na WAANDISHI WETU VIONGOZI katika ukanda wa Pwani wameeleza wasiwasi wao kuwa huenda idadi kubwa ya wananchi wakakosa kushiriki katika...
Polisi waua watu watatu uchaguzi ukianza Tanzania
Na MASHIRIKA CHAMA kikuu cha upinzani katika kisiwa cha Zanzibar kisichojisimamia binafsi, kilisema jana kuwa watu watatu waliuawa na...
Kampuni 8 zilitumiwa kuchafulia Raila sifa 2013 na 2017
NA FAUSTINE NGILA KAMPUNI nane zilitumiwa kumharibia sifa Kion- gozi wa ODM, Bw Raila Odinga mitandaoni wakati wa kampeni za chaguzi...
- by adminleo
- May 26th, 2020
Hatima ya EPL msimu huu kujulikana kesho Jumatano kupitia kura
Na CHRIS ADUNGO MIKAKATI ya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) kurejea inaendelea kushika kasi huku klabu za kipute hicho zikiratibiwa kupiga...
- by adminleo
- November 1st, 2019
Kura: Seneta ataka majina bandia yawe halali debeni
Na VALENTINE OBARA KARATASI za kura katika Uchaguzi Mkuu wa 2022 zitajaa majina bandia ya wanasiasa ikiwa mswada wa kutaka Tume Huru ya...
- by adminleo
- August 8th, 2019
Hapa ulafi tu, miaka miwili tangu uchaguzi mkuu
Na VALENTINE OBARA MNAMO Agosti 8, 2017, mamilioni ya Wakenya walikosa kulala na kuvumilia baridi kali ya asubuhi na jua kali mchana...
- by adminleo
- December 11th, 2018
Wananchi wote walazimishwe kupiga kura ili kuzima ufisadi – Kiraitu
Na DAVID MUCHUI GAVANA wa Kaunti ya Meru, Kiraitu Murungi, sasa anataka upigaji kura ufanywe kuwa wa lazima kwa watu wote wazima, kama...
- by adminleo
- August 1st, 2018
Konchellah apoteza kiti chake
Na RICHARD MUNGUTI MBUNGE wa Kilgoris Bw Gideon Konchellah alipoteza kiti baada ya Mahakama ya rufaa kufutilia mbali ushindi wake...
- by adminleo
- August 1st, 2018
Kibe alishinda kwa njia ya haki – Mahakama
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA ya rufaa Jumanne ilifutilia mbali kesi ya kupinga ushindi wa Mbunge wa Gatundu kaskazini Bi Anne Wanjiku...